Nav bar

Alhamisi, 30 Januari 2014

KARIBU WIZARA YA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI


 NAIBU WAZIRI WA WIZARA YA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI MHE. KAIKA TELELE SANING"O AKIKARIBISHWA WIZARANI NA KAIMU KATIBU MKUU BIBI CATHERINE JOSEPH. 



Afisa Utumishi Bibi Ngele akimkabidhi maua Naibu Waziri kama ishara ya Upendo, Ukarimu na Kumkaribisha Wizarani kwa.

Mhe. Naibu Waziri akisaini kitabu cha Wageni kutoka Idara , Vitengo na Wakala za Wizara zilizopo ndani ya Makao Makuu ya Wizara.

Mhe. Naibu Waziri akifafanua jambo kwa watendaji Wakuu waliomkaribisha Wizarani 





Mhe. Naibu Waziri akibadilishana mawazo na Watendaji Wakuu waliompokea Ofisini kwake Makao Makuu ya Wizara Mvuvi House
Anayeonekana katika picha ni Afisa Utumishi Bibi Ngele na Afisa Mawasiliano Bw Bernard Kaali wakifatilia kwa makini mazungumzo ya Mhe Naibu Waziri hayupo pichani




Mtoa Huduma kwenye Ofisi ya Naibu Waziri Bibi Victoria Mwaikono akitoa huduma kwa wageni wakati wakibadilishana mawazo na Naibu Waziri 

Kaimu Katibu Mkuu Bibi Catherine Joseph akiwa na Katibu wa Naibu Waziri Bw Nathaniel Mboje 





Hakuna maoni:

Chapisha Maoni