Nav bar

Alhamisi, 26 Mei 2011

ZIARA YA WAZIRI KIWANDA CHA NGOZI HIMO - TANNERIES MOSHI

Mmiliki wa Kiwanda cha ngozi cha Himo Bw Uiso akitoa maelezo kwa kuonyesha mashine zinzzotumika katika usindikaji wa ngozi, pembeni yake ni Waziri Mhe. Dkt David Mathayo David.
Mhe Waziri alipoingia eneo la ushonaji wa bidhaa za ngozi katika kiwanda cha ngozi Himo.Kwenye picha ni mmoja wa washonaji bidhaa za ngozi akionyesha kazi zake kwa Waziri.


Bw Uiso (kulia kwa waziri)  akionyesha ngozi liliyosindikwa na kuongezwa dhamani kwa Mhe. Waziri Dkt David Mathayo David (katikati) na Mkuu wa Wilaya ya Moshi Mhe Mussa Samizi.

Sehemu ya ushonaji bidhaa za ngozi katika kiwanda cha Himo.
Mhe. Waziri akionyeshwa mfumo wa Maji taka katika Kiwanda cha Himo Tanneries.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni