Nav bar

Alhamisi, 26 Mei 2011

ZARA YA WAZIRI CHUO CHA MIFUGO TENGERU I

Mhe Waziri akiliangalia Trekta linalotumiwa na Chuo cha Mifugo Tengeru, ambalo lina umri wa miaka 46 na bado linafanya kazi bila matatizo yoyote . Pembeni mwa tractor ni Mwalimu David Maleshi wa LITI Tengeru akitoa maelezo kuhusu Tractor hilo.
Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dkt David Mathayo David akimsikiliza Mmiliki wa Kiwanda cha Ngozi cha Himo Tanneries Bw Uiso alipotembelea kiwanda hicho tarehe 24/03/2011 na wa kwanza kushoto kwa waziri ni Mkuu wa Wilaya ya Moshi Mhe Musa Samizi.
Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt David Mathayo David akiwa katika picha ya pamoja na uongozi wa Chuo cha Mifugo Tengeru.

Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt David Mathayo David  akisalimiana na Uongozi wa Chuo cha Mifugo Tengeru (LITI - Tengeru) tarehe 28/03/2011 alipotembelea Chuo hicho.
Mwalimu wa vifaa na mashine zinazotumika kwa kilimo  David Maleshi akielezea jambo kuhusu vifaa na mashine hizo kwa Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt David Mathayo David.  

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni