Nav bar

Alhamisi, 30 Mei 2024

shughuli mbalimbali zilizofanyika kwenye Wiki ya Protini iliyofanyika kwenye viwanja vya Bunge Mkoa wa Dodoma Mei 14, 2024.

 

Mbunge wa Jimbo la Ilemela Mhe. Anjelina Mabula (kushoto) akipata maelezo kuhusiana na matumizi mbalimbali ya mazao ya Uvuvi yatokanayo na Samaki aina ya Jodar kutoka Mtaalam wa Utafiti wa mazao hayo wa Taasisi ya Utafiti wa Uvuvi (TAFIRI) Bi. Siwema Luvanda alipotembelea Mabanda ya maonesho ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi kujionea shughuli mbalimbali zinazofanyika kwenye Wiki ya Protini iliyofanyika kwenye viwanja vya Bunge Mkoa wa Dodoma Mei 14, 2024.

Mbunge wa Isimani Mhe. Wiliam Lukuvi (kulia) akikabidhiwa nyama aina ya Kongwa Beef kutoka kwa Bi. Beatrice Mhina (kushoto) mtaalamu kutoka Kampuni ya Ranchi za Taifa (NARCO) mara baada ya kuridhishwa na ubora wake alipotembelea Mabanda ya maonesho ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi kujionea shughuli mbalimbali zinazofanyika kwenye Wiki ya Protini iliyofanyika kwenye viwanja vya Bunge Mkoa wa Dodoma Mei 14, 2024.

Mbunge wa Viti Maalum Mhe. Halima Mdee (kulia) akipata maelezo kuhusiana na matumizi sahihi ya Chanjo ya Mdondo (Kideli) kwa kuku kutoka kwa Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA) Dkt Stella Bitanyi (kushoto) alipotembelea Mabanda ya maonesho ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi kujionea shughuli mbalimbali zinazofanyika kwenye Wiki ya Protini iliyofanyika kwenye viwanja vya Bunge Mkoa wa Dodoma Mei 14, 2024.

Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi Prof. Riziki Shemdoe (wa pili kushoto) akipata elimu kuhusina matumizi ya vifaa vya uokoaji majini kutoka kwa Meneja Mradi wa kampuni ya EMEDO Bw. Arthur Mugema (wa pili kutoka kulia) alipotembelea Mabanda ya maonesho ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi kujionea shughuli zinazofanyika kwenye Wiki ya Protini iliyofanyika kwenye viwanja vya Bunge Mkoa wa Dodoma Mei 14, 2024.


Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi Prof. Riziki Shemdoe (wa pili kushoto) akipata huduma ya mshikaki unaotokana na mazao ya Samaki alipotembelea Mabanda ya maonesho ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi kujionea shughuli mbalimbali zinazofanyika kwenye Wiki ya Protini iliyofanyika kwenye viwanja vya Bunge Mkoa wa Dodoma Mei 14, 2024. Aliesimama kulia ni Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Uvuvi) Dkt Edwin Mhede na aliesimama kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Uvuvi (TAFIRI) Dkt. Ismael Kimirei.

Waziri wa Kilimo Mhe. Hussein Bashe (wa pili kutoka kushoto) akipata elimu kuhusiana na uzalishaji bidhaa za mazao yatakanayo na Maziwa kutoka kwa Mkurugenzi wa kampuni ya ASAS Bw. Fuad Jeffer (wa tatu kutoka kushoto) alipotembelea Mabanda ya maonesho ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi kujionea shughuli mbalimbali zinazofanyika kwenye Wiki ya Protini iliyofanyika kwenye viwanja vya Bunge Mkoa wa Dodoma Mei 14, 2024.

Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega (wa pili kutoka kulia) akipata elimu kuhusiana na uzalishaji wa dawa za kuogeshea Mifugo kutoka kwa Mtaalamu wa kampuni ya FARMBASE Dkt. Nasib Mtoi alipotembelea Mabanda ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi  kujionea shughuli mbalimbali zinazofanyika kwenye Wiki ya Protini iliyofanyika kwenye viwanja vya Bunge Mkoa wa Dodoma Mei 14, 2024. Aliesimama katikati ni Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Mifugo) Prof. Daniel Mushi.


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni