WAZIRI ULEGA AFANYA MAZUNGUMZO NA MBUNGE WA AFRIKA MASHARIKI MHE. JAMES OLE MILLYA

 

Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega(Mb) amekutana  Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki Mhe. James Ole Millya, na kufanya mazungumzo kuhusu Maendeleo ya sekta ya Mifugo, mazungumzo hayo yamefanyika ofisini kwake Jijini Dodoma,  Agosti 17,2023.


Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega akiwa katika picha ya pamoja na Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki Mhe. James Ole Millya, alipoenda kumtembelea ofisini kwake jijini Dodoma Agosti 17,2023.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

LESENI, VIBALI VYA MAZAO YA MIFUGO NA VYAKULA VYA SAMAKI KUTOLEWA KWA NJIA YA KIELEKTRONIKI

DKT. MHEDE AONGOZA ZOEZI LA UCHANJAJI WA MIFUGO MKOANI IRINGA, WAFUGAJI WAPONGEZA HATUA YA SERIKALI

SERIKALI KURASIMISHA BIASHARA YA MABONDO