Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega akiongea na Wananchi wa Kijiji cha Rutoro (hawapo pichani) wakati wa ziara ya Mawaziri Nane wa Kisekta iliyolenga kutatua mgogoro katika Kijiji hicho cha Rutoro Wilayani Muleba, Mkoani Kagera Julai 20, 2023.
Timu hiyo ya Mawaziri nane iliongozwa na Mwenyekiti, ambaye ni Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt. Angeline Mabula.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni