Nav bar

Jumanne, 21 Februari 2023

KIKOSI KAZI KINACHORATIBU MWONGOZO WA KUENDELEZA UVUVI MDOGO NCHINI KIKIENDELEA NA KIKAO CHA KUZINDUA MATAWI YA WANAWAKE

 

Mwenyekiti wa kikosi kazi cha kitaifa kinachoratibu muongozo wa kuendeleza Uvuvi Mdogo nchini (NTT), Bw. Yahya Mgawe akiwasilisha mada wakati wa kikao cha uzinduzi wa matawi ya wanawake wanaojihusisha na shughuli za uvuvi Tanzania (TAWFA) Kanda ya ziwa Nyasa na maji madogo   kilichofanyika kwenye ukumbi wa royal palm Mkoani Iringa Februari 15,2023

Afisa Uvuvi Mwandamizi ambaye pia ni mratibu wa dawati la jinsia kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Uvuvi), Bi. Upendo hamidu akichangia hoja wakati wa kikao cha uzinduzi wa matawi ya TAWFA Kanda ya ziwa Nyasa na maji madogo kilichofanyika kwenye ukumbi wa royal palm Mkoani Iringa Februari 15,2023

Mteknolojia wa samaki Mkuu, Bi. Flora Ruhanga akichangia hoja kwenye kikao cha uzinduzi wa matawi ya wanawake wanaojihusisha na shughuli za uvuvi Tanzania (TAWFA) Kanda ya ziwa Nyasa na maji madogo kilichofanyika kwenye ukumbi wa royal palm Mkoani Iringa Februari 15,2023

Mjumbe wa kikosi kazi cha kitaifa kinachoratibu muongozo wa kuendeleza Uvuvi Mdogo nchini (NTT), Bi. Leticia Bigeyo akifafanua jambo kwenye kikao cha uzinduzi wa matawi ya wanawake wanaojihusisha na shughuli za uvuvi Tanzania (TAWFA) Kanda ya ziwa Nyasa na maji madogo   kilichofanyika kwenye ukumbi wa royal palm Mkoani Iringa Februari 15,2023

Sehemu ya washiriki wa kikao cha uzinduzi wa matawi ya wanawake wanaojihusisha na shughuli za uvuvi Tanzania (TAWFA) Kanda ya ziwa Nyasa na maji madogo wakichangia hoja na kujibu waswali wakati wa kikao hicho kilichofanyika kwenye ukumbi wa royal palm Mkoani Iringa Februari 15,2023

Mratibu wa mwongozo wa  Mradi wa kuendeleza Uvuvi mdogo Bi. Lilian Ibengwe akijibu maswali wakati wa kikao cha uzinduzi wa matawi ya TAWFA Kanda ya Ziwa Nyasa na maji madogo kilichofanyika kwenye ukumbi wa royal palm Mkoani Iringa, Februari 15,2023

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni