Nav bar

Ijumaa, 28 Oktoba 2022

 


Picha ya Pamoja ya Timu ya Wataalam toka Wizara ya Mifugo na Uvuvi ikiongozwa na Wakurugenzi wasaidizi  wa Ukuzaji Viumbe Maji Bahari  Dkt. Hamisi Nikuli watatu toka (kuli ), wa pili ni Mkurugenzi Masidizi wa Ugani wa Uvuvi na Ukuzaji Viumbe Maji Bw.Antony Dadu wa  pili toka (kulia), Bw.Augustine Mshanga Mchumi, wa kwanza (kulia) toka Dawati la Sekta Binafsi,Mtaalam wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo ( TADB ) Bw.Richard Sempindu wa pili   toka ( kushoto ) na  katikati ni Katibu Tawala Wilaya ya Kigamboni Bw.James Mkumbo picha imechukuliwa ofisi ya Katibu Tawala Wilaya ya Kigamboni, lengo la ziara ya wataalam katika ofisi hiyo ni kujitambulisha kuwa wamekuja kwa kazi ya kuhakiki fomu za mikopo ya wadau wa uvuvi wanao kopeshwa na Wizara ya Mifugo na Uvuvi kupitia Mradi wa Boti, na Vizimba (20.10.2022).


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni