DKT. TAMATAMAH AKISAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO

Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi (Uvuvi), Dkt. Rashid Tamatamah akisaini kitabu cha maombolezo nyumbani kwa Hayati Benjamin William Mkapa, Rais Mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Tatu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mara baada ya kuhudhuria ibada ya misa takatifu ya kumuombea Hayati Mkapa katika uwanja wa uhuru jijini Dar es Salaam. (26.07.2020)

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

LESENI, VIBALI VYA MAZAO YA MIFUGO NA VYAKULA VYA SAMAKI KUTOLEWA KWA NJIA YA KIELEKTRONIKI

DKT. MHEDE AONGOZA ZOEZI LA UCHANJAJI WA MIFUGO MKOANI IRINGA, WAFUGAJI WAPONGEZA HATUA YA SERIKALI

SERIKALI KURASIMISHA BIASHARA YA MABONDO