Nav bar

Jumanne, 9 Agosti 2016

MAKAMU WA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MHE.SAMIA SULUH HASSAN AFUNGA MAADHIMISHO YA SHEREHE YA WAKULIMA TAREHE 08/08/2016 ILIYOFANYIKA KATIKA VIWANJA VYA NGONGO MKOANI LINDI

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani Mhe.Samia Suluhu Hassan akifunga maonesho ya Nanenane katika viwanja vya Ngongo Mkoani  Lindi
Katibu Mkuu Idara kuu Uvuvi akipokea zawadi ya ushindi kuwa namba moja (1) kwa Wizara inayoongoza katika Sekta ya Uchumi ambayo ni Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi 

Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt. Charles Tizeba akisoma hotuba kwa ufupi ya kumkaribisha mgeni rasmi kabla ya kufunga Maonesho ya Nanenane 
Wananchi wa Lindi wakisikiliza kwa makini maneno kutoka kwa mgeni rasmi katika viwanja vya ngongo


Mgeni rasmi Mhe. Samia Suluhu Hassan akiangalia juice ya mabibo katika banda la Idara kuu Kilimo



Hakuna maoni:

Chapisha Maoni