KAMATI YA BUNGE YATEMBELEA WAKALA WA ELIMU NA MAFUNZO YA UVUVI FETA - BAGAMOYO TAREHE 30/03/2015

Samaki aina ya kambale 

Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Mifugo na Uvuvi Dkt. Yohana Budeba afungua mkutano na kuwakaribisha wajumbe wa kamati ya Bunge waliotembelea FETA Mbegani Bagamoyo

Mwenyekiti wa kamati ya Bunge ya Kilimo Mifugo na Maji Mhe. Mary Nagu na wanakamati wengine wakiangalia meli za uvuvi zinazotumika kwa ajili ya mafunzo na Utafiti

meli inayotumika kwa ajili ya utafiti

mabwawa ya kufugia samaki wa maji chumvi na maji baridi

Chakula cha samaki





Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

WATAALAMU WATAKIWA KUKUSANYA TAKWIMU SAHIHI ZA KITAFITI

UTEKELEZAJI WA UFUGAJI SAMAKI KWA VIZIMBA WAANZA ZIWA TANGANYIKA

TANZANIA DAIRY BOARD