BOTI ZA DORIA KUTOKA WIZARA YA KILIMO MIFUGO NA UVUVI ZIKISAFIRISHWA KWENDA VITUO MBALIMBALI KWA AJILI YA KUZUIA UVUVI HARAMU

Moja wapo ya juhudi za serikali kudhibiti uvuvi haramu, serikali imenunua boti kwa ajili ya kupeleka katika vituo vya Mbamba bay - Ruvuma, Kasanga - Rukwa, Ikola - Katavi na Mkoa wa Mwanza

Muonekano wa ndani ya Boti

boti zikipakiwa kutoka Wizarani tayari kwa kusafirishwa



Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

LESENI, VIBALI VYA MAZAO YA MIFUGO NA VYAKULA VYA SAMAKI KUTOLEWA KWA NJIA YA KIELEKTRONIKI

DKT. MHEDE AONGOZA ZOEZI LA UCHANJAJI WA MIFUGO MKOANI IRINGA, WAFUGAJI WAPONGEZA HATUA YA SERIKALI

SERIKALI KURASIMISHA BIASHARA YA MABONDO