SAMAKI WALIOHARIBIKA KUTOKA KAMPUNI YA SUNRISE FOOD COMPANY KILO 1853 WAHARIBIWA KATIKA DAMPO LA PUGU KINYAMWEZI TRH 26/01/2016

Konteina  lililohifadhi samaki walioharibika likifunguliwa kwa ajili ya kupakiza samaki na kuwapeka Dampo kwa ajili ya kuharibiwa.






Samaki wakipimwa  kutoka kwenye konteina tayari kwa kupakiwa kwenye trekta kuelekea Pugu kinyamwezi Dampo

Wa kwanza kutoka kushoto ni Afisa Uvuvi Manispaa ya Kinondoni Bw.Sijali Juma, katika ni Bi. jovice mkuchu na anaefata ni Bw.John komakoma wakaguzi wa Samaki kutoka Wizarani wakiangalia kwa makini samaki wakipimwa.






Samaki wakishushwa kwenye Trekta katika  Dampo la Pugu kinyamwezi tayari kwa kuharibiwa



Afisa Uvuvi  Manispaa ya kinondoni,Jovice Mkuchu na Afisa kutoka Sunrise Food Company wakijadiliana jambo wakati wa kuharibu Samaki hao katika Dampo la Pugu Kinyamwezi.



Samaki hao wakisagwasagwa katika dampo la Pugu Kinyamwezi



Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

LESENI, VIBALI VYA MAZAO YA MIFUGO NA VYAKULA VYA SAMAKI KUTOLEWA KWA NJIA YA KIELEKTRONIKI

DKT. MHEDE AONGOZA ZOEZI LA UCHANJAJI WA MIFUGO MKOANI IRINGA, WAFUGAJI WAPONGEZA HATUA YA SERIKALI

SERIKALI KURASIMISHA BIASHARA YA MABONDO