MAONESHO YA UVUVI YALIYOFANYIKA KITAIFA MKOA WA TANGA TAREHE 19/11/2015 KATIKA VIWANJA VYA TANGAMANO
Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dkt. Yohana Budeba akiwasili katika viwanja vya tangamano kwa ajili ya ufunguzi rasmi wa maonesho ya uvuvi |
Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dkt. Yohana Budeba akisaini kitabu cha wageni alipowasili katika viwanja hivyo |
Mkuu wa Wilaya ya Pangani Bi. Regina Njonjo akisaini kitabu cha wageni |
Bi. Merisiana Sebastian Afisa Uvuvi Mkuu akimuelezea Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dkt. Yohana Budeba sera ya uvuvi |
Bw. Fredric Francis Afisa uvuvi I akimuelezea Katibu Mkuu Dkt. Yohana Budeba kuhusu sera za ufugaji wa samaki |
Bw. Omari Mohamed Afisa Mfawidhi akimuelezea Katibu Mkuu Dkt. Yohana Budeba kuhusu masuala ya ukuzaji na uzalishaji wa vifaranga vya samaki na viumbe maji |
Bw. Ramadhani Mwiga mdau kutoka Feri Dar akimuelezea Katibu Mkuu Dkt. Yohana Budeba mazao yanayovunwa kutoka Baharini |
Majongoo bahari (Sea cucumber) na Mwani (sea weed) katika ubora wake |
Mdau akimuonesha mmoja wa washiriki zao la mwani baada ya kuvunwa |
Katibu Mkuu Dkt. Yohana Budeba akiangalia dagaa waliokaushwa na jua |
Katibu Mkuu akiangalia samaki mbalimbali wanaofugwa kama vile kambale, sato na sangara |
Patroba Matiku kutoka TAFIRI akimuonesha Katibu Mkuu Mashine aina ya CTD inayotumika kupima kina cha maji (Depth), kiwango cha jotoridi la maji na kiwango cha chumvi kwenye maji |
Picha ya samaki aina ya SILIKANTi anayepatikana Kigombe Tanga |
Vikundi vya ngoma kutoka Tanga |
Bi Regina Njonjo Mkuu wa Wilaya ya Pangani akimkaribisha mgeni rasmi |
Katibu Mkuu Dkt. Yohana Budeba akitoa hotuba kwa Wananchi waliohudhuria kwenye siku ya Mvuvi |
Mpemba Asili asilia kutoka pemba akighani shairi kwa ajili ya kuhamasisha na kuelimisha juu utunzaji wa rasilimali za uvuvi katika siku ya Mvuvi |
Watoto wa shule wakiburudika na nyimbo mbalimbali |
Maoni
Chapisha Maoni