HABARI MIFUGO NA UVUVI: VIPINDI VYA REDIO

Mpendwa Msikilizaji wa vipindi vya redio vya Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Wizara inaomba radhi kwa vipindi vyake kutowepo hewani kwa kipindi cha mwaka mmoja, hii imetokana na sababu zilizo nje ya Wizara.



Aidha Kitengo cha Mawasiliano Serikalini kinakualika tena katika kuperuzi vipindi vya redio vya mwaka 2014/2015 ambavyo vitaanza kurushwa mapema mwezi Desemba. Hata hivyo vipindi vya redio vyote ambavyo viliwekwa hapo awali vinarejeshwa ili uendeelee kujielimisha kwa mafundisho mbalimbali.



Pia vipindi vya Miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar vitajumuishwa ndani ya Blog ili kukupa uhondo na kukuhabarisha Mpenzi Msikilizaji na Mdau wa Sekta za Mifugo na Uvuvi KARIBU    

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

LESENI, VIBALI VYA MAZAO YA MIFUGO NA VYAKULA VYA SAMAKI KUTOLEWA KWA NJIA YA KIELEKTRONIKI

DKT. MHEDE AONGOZA ZOEZI LA UCHANJAJI WA MIFUGO MKOANI IRINGA, WAFUGAJI WAPONGEZA HATUA YA SERIKALI

SERIKALI KURASIMISHA BIASHARA YA MABONDO