Nav bar

Jumapili, 22 Mei 2011

WAZIRI ZIARA BWAWA LA NYUMBA YA MUNGU- WILAYA YA MWANGA

Mhe. Dkt David Mathayo David akichoma nyavu ambazo ni haramu za makokoro, ambazo huharibu mazingira ya mazalia ya samaki na kuvua samaki wachanga na hata mayai ya samaki.

 
WAZIRI WA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI AKIONGEA NA MWENYEKITI WA KIJIJI CHA  NYUMBA YA MUNGU MWANGA KUHUSU TUHUMA ANAZOTUHUMIWA NA WANAKIJIJI KUHUSIKA NA UVUVI HARAMU

Baadhi ya mitwimbwi ambayo wavuvi wa Bwawa la Nyumba ya Mungu huitumia katika shughuli zao za uvuvi.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni