MAKABIDHIANO YA BOTI ZA MRADI WA MACEMP CHUO CHA UVUVI MBEGANI
Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt David Mathayo David pamoja na meza kuu wakimsikiliza Mkurugenzi wa Maendeleo wa Halmashauri ya Mkuranga akitoa neno la shukurani baada ya kumkabidhiwa Boti. Hayupo pichani) Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhe. akimkaribisha Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt David Mathayo David Mkoa wa Pwani wakati wa kukabidhi boti 14kwa Halmashauri za Bagamoyo, Lindi, Mkinga, Mkuranga n.......pamoja na Kitengo cha Bahari na Maeneo Tengefu (MPRU) Aprili 6 2011. Boti zilizotolewa na Mhe Waziri zikifanyiwa majariio kama zinafanya kazi kwenye Bahari ya Hindi pembeni mwa Chuo cha Maendeleo ya Uvuvi Mbegani. Hii ni kati ya Boti 14 zilizokabidhiwa na Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi kwa Halmashauri 5 na Kitengo cha Bahari na Maeneo Tengefu (MPRU)