Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Novemba, 2017

REQUEST FOR EXPRESSIONS OF INTEREST

Picha
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA MINISTRY OF LIVESTOCK AND FISHERIES (FISHERIES) SOUTH WEST INDIAN OCEAN FISHERIES GOVERNANCE AND SHARED GROWTH PROGRAM (SWIOFish) PROJECT- IDA CREDIT No.5589-TZ REQUEST FOR EXPRESSIONS OF INTEREST Assignment Title :   PROVISION OF CONSULTANCY SERVICES TO CONDUCT HOUSEHOLD SURVEYS IN SELECTED COASTAL FISHING COMMUNITIES IN MAINLAND TANZANIA & ZANZIBAR, TO ESTABLISH A BASELINE DATASET FOR ASSESSING IMPACT OF THE SWIOFish PROJECT Reference No. TENDER No. ME/021/2017-18/SWIOFish/C/23 The Government of the United Republic of Tanzania has received financing from the World Bank toward the cost of the South West Indian Ocean Fisheries Governance and Shared Growth program – SWIOFish , and intends to apply part of the proceeds for consulting services. The consulting services (“the Services”) include To establish a statistically robust, representative baseline dataset for indicators relevant to househol...

CHAMA CHA WANAWAKE (TAWLAE)

Picha
Chama cha wanawake  wataalamu kutoka Wizara ya Kilimo,Mifugo,Uvuvi na Mazingira, Tanzania association of women leaders in agriculture and environment  ( TAWLAE) leo wamefungua rasimi mkutano wa mwaka  wa 21 na kuhudhuriwa na Naibu katibu Mkuu Bi Butamo Philipo kwa  niaba ya waziri wa  Mazingira  Mhe. January Makamba ambao umefanyika  leo katika viwanja vya wizara ya mifugo na uvuvi. Akiongea katika mkutano huo wenyekiti ya chama cha wanawake viongozi katika kilimo na mazingira Dkt. Sofia Malote amesema Lengo kubwa la mkutano huo ni kuunganisha wakulima na tafiti mbalimbali  zilizoandaliwa na wataalamu hao  " Maadhimisho ambayo yamebeba kaulimbiu isemayo  uchumi wa viwanda Tanzania wanawake tupo tayari,hapa ni kazi tu". Aidha Dkt. Sofia Malote amesema kazi ya TAWLAE ni kuwaunganisha wakulima wadogo au wakubwa na tafiti mbalimbali ambaozo  zimetafitiwa hapa nchini  ili kuongeza uwekezaji na ajira kwa watanzania katika ki...

UZINDUZI WA NDEGE YA DORIA YA UVUVI KUTOKA MAURITIUS

Picha
Uzinduzi wa ndege ya doria inayoitwa Dornier 228 kutoka Serikali ya  Mauritius kwa ajili ya kupambana na  Uvuvi haramu. Operesheni hii imeshirikisha nchi zote za Magharibi ya Bahari ya Hindi, ambapo ndege ya Coast Guard kutoka serikali  ya Mauritius inatumika kwa ajili ya kufanya doria ili kidhibiti uvuvi haramu. Bw Hosea Mbilinyi DG Deep Sea Fishing Authority alisema kwenye operesheni za anga uvuvi tunalipa dola 32 na kuchangia asilimia 20 -40 katika kushirikiana kufanya doria ili kudhibiti eneo la uchumi wa bahari. Mhe. Waziri wa Kilimo, Maliasili  Mifugo na Uvuvi kutoka Zanzibar Hemed Rashid alisema tunatakiwa kulinda Rasilimali za uvuvi na kuwasaidia watanzania ili kuhakikisha nchi inabaki salama na lengo hasa ni Kujenga masoko ya kuunganisha sekta ya uvuvi na Utalii, ambapo mtalii anaweza kuingia na kununua bidha. Aliendelea kusema Mhe. Waziri "ndani ya uvuvi haramu unaweza kukuta watu wanasafirisha vitu haramu, hvyo tunaomba wananchi wakaelewa bila...

NAIBU WAZIRI APOKELEWA KWA SHANGWE NA WATUMISHI WA WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI MAKAO MAKUU DODOMA

Picha
NAIBU WAZIRI WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI MHE.ABDALLA HAMISI ULEGA AWASILI MAKAO MAKUU YA WIZARA MJINI DODOMA. Kwa mara ya kwanza tangu ateuliwe na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.John Pombe Magufuli,Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdalla Hamisi Ulega amewasili makao Makuu ya Wizara,ofisini kwake  Mjini Dodoma na kupokelewa na Viongozi Waandamizi wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi. Katika adhima ya kutimiza kwa Vitendo ule Usemi wa "HAPA KAZI TU" mara tu baada ya kuapishwa kushika nyadhifa hizo,Viongozi hao wawili wa ngazi ya juu kabisa Wizarani yaani Waziri wa Mifugo na Naibu waziri,wamekuwa nje ya ofisi wakishughulika na changamoto za wafugaji na Wavuvi. Awali Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe Abdalla Ulega alifanya ziara katika Mikoa minne ambayo ni Tanga,Kilimanjaro,Arusha na Mara, lengo ikiwa ni kuangalia changamoto mbalimbali za Mifugo inayoingia nchini kutoka nchi Jirani kinyume cha Sheria. Mhe Abdallah Ulega akisalimiana na Katibu Mkuu U...

WAFUGAJI TEMBEENI KIFUA MBELE WAZIRI MNAYEE- MPINA

Picha
NA: MWANDISHI MAALUM - KATERERO KAGERA Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Luhaga Mpina   amewataka wafugaji nchini kutembea kifua mbele kwa kumpata yeye kama Waziri mwenye dhamana ya Mifugo, Mpina ameyasema hayo jana aliposhiriki katika zoezi la kupiga chapa Mifugo   katika Kijiji cha Kyelwa kilichopo katika kata ya Katerero Halmashauri ya Wilaya Bukoba mkoani Kagera,   na kuwataka viongozi kuzingatia maadili wakati wa utekelezaji wa zoezi hilo ili kuepuka hujuma na ubaguzi kwa wafugaji. Waziri Mpina alipofika katika kata ya   Katerero aliwakuta wafugaji wamejitokeza kwa wingi kuunga mkono zoezi la upigaji chapa katika mifugo yao na kushiriki zoezi hilo kwa kuonyesha msisitizo. Waziri Mpina aliwataka wafugaji   kuleta mifugo yao kupigwa chapa na kusisitiza kwamba zoezi hilo ni la manufaa na faida kwa wafugaji kwani litaweza kuwasiadia kuepuka maambukizi ya magonjwa ya wanyama kwa mifugo yao kwa kutokuchanganyikana na mifugo mingine sambamba na kusaidi...