
Jumatatu, 27 Juni 2016
ZIARA YA KATIBU MKUU WA WIZARA YA KILIMO, MIFUGO NA UVUVI DKT.YOHANA BUDEBA KATIKA MASHAMBA YA WAFUGAJI WA SAMAKI KIGAMBONI TAREHE 24/06/2016
![]() |
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi anaeyeshughulikia sekta ya (Uvuvi) Dkt. Yohana Budeba asaini kitabu cha wageni alipotembelea shamba la mfugaji Kigamboni |
![]() |
Muonekano wa mabwawa ya samaki Kigamboni |
![]() |
Katibu Mkuu Dkt. Yohana Budeba akioneshwa mazingira ya bwawa la kufugia samaki na Mdau Bw. Abdul Kamugisha |
![]() |
Katibu Mkuu Dkt. Yohana Budeba akipewa maelezo na Bw. George mdau wa shamba la Aqua Big Fish |
![]() |
Mazingira ya bwawa la Aqua Big Fish Kigamboni |
![]() |
Samaki wanaofugwa aina ya Kambare |
![]() |
Katibu Mkuu Dkt. Yohana Budeba akiangalia samaki aina ya sato waliofikisha wiki mbili (2) |
![]() |
Katibu Mkuu Dkt. Yohana Budeba akiwa na Dkt. Maika Mkurugenzi wa Idara ya Ukuzaji Viumbe kwenye maji wakiangalia Sehemu ya kuhifadhia samaki baada ya kutotoleshwa ili waweze kukua kwa nafasi |
Alhamisi, 23 Juni 2016
SECOND TECHNICAL ADVISORY COMMITTEE MEETING HELD AT COLOSSEUM HOTEL, 23 JUNE 2016 DAR ES SALAAM.
![]() |
TAC, ILRI and TLMP members discussing the technical issues and information which were collected and analysed by Livestock Master Plan formulated Team |
![]() |
Mr. Stephen Micheal, TLMP coordinator presenting the Livestock Production, Household Economy and GDP - 2016 |
![]() |
Members of TLMP , NGO's Research Institutions, Private Sector, and TAC concentrates on the speech presenting by the TAC member |
![]() |
![]() |
Group picture are the members of Ministry of Agriculture, livestock and Fisheries collaboration with TAC, TLMP, ILRI, team members held at Colosseum hotel, Dar es Salaam. |
![]() |
Mr.Salim Mwinjaka member of TAC representing Chairperson (DPP) ending the meeting by advise the TAC members to move forward and comments should be taken on board. |
Ijumaa, 10 Juni 2016
MKUTANO WA MAMENEJA WA MASHAMBA YA LMU, NARCO NA MALISHO TAREHE 09 - 10/06/2016 ULIOFANYIKA DODOMA KATIKA UKUMBI WA WIZARA YA KILIMO, MIFUGO N UVUVI.
![]() |
Katibu Mkuu (M) Dkt. Mary Mashingo akisikiliza kwa makini taarifa ya utendaji kazi wa Mashamba na Ranchi kutoka kwa Mameneja mbalimbali. |
![]() |
Bw. Israel Kilonzo Meneja wa shamba la kuzalisha Mitamba Sao Hill akitoa taarifa yake kuhusu mapato na changamoto za shamba kulia kwake ni Maafisa Mifugo |
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)