MKUTANO WA UWASILISHAJI WA MAELEZO YA BOTI ZA KISASA ZA DORIA KUTOKA ITALY
Baadhi ya wajumbe wa wajumbe wa mkutano wakisikiliza maelezo kutoka kwa Mh Wsaziri wa KMU( hayupo pichani ) Waziri wa KMU Mh. Mwigulu Nchemba akitoa maelezo kwenye mkutano Mkuu wa jeshi la Polisi Tanzania (IGP) Ernest Mangu akiwa kwenye mkutano huu Mkurugenzi wa uvuvi katika Wizara ya KMU bwana Hosea Gonza Mbilinyi wa tatu kutoka kulia akimsikilza kwa makini mkuu wa jeshi la polisi Waziri wa KMU Mh Mwigulu Nchemba akitoa maelezo kuhusu umuhimu wa boti hizo kwa ajili ya doria Katibu Mkuu wa Wizara ya KMU (Uvuvi) Dr Yohana Budeba kushoto akiwa na Mkurugenzi wa uvuvi Bw Hosea Gonza Mbilinyi kulia Wataalam kutoka kampuni ya CMESCOMMANDMULTROLE-ULCRAFASTPACROLOAT kutoka kushoto ni Bw Aleksandr Zinrman na Bw Francisco Gargiulo Boti ya kisasa ya doria aina ya CMES 40 yenye uwezo wa kukimbia zaidi ya KM 160 kwa saa inayotarajiwa kununuliwa ikiwa kazini Bw Francisco ...