Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Novemba, 2015

THE1ST FISH FOR TRADE AWARD IN EAST AFRICA WHICH HELD ON 25 NOVEMBER 2015 AT PROTEA HOTEL DAR ES SALAAM

Picha
Bi. toky kutoka Smart Fish Mauritius akiwa karibisha Washiriki katika mashindano hayo yaliyofanyika Protea Hotel (hawapo pichani) Bi. Mwanaidi Mlolwa Mkurugenzi msaidizi ubora wa mazao ya uvuvi akimkaribisha Mkurugenzi wa uvuvi Bw. Hosea Mbilinyi kutoka Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Mkurugenzi wa Uvuvi Bw. Hosea Mbilinyi akiongea na washiriki njia bora za uzalishaji wa samaki Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dkt. Yohana Budeba akilezea kuhusu mafanikio ya mazao yatokanayo na uvuvi Bi. Suzan Muga  Mchakataji wa dagaa wa kubanika na moshi kutoka Musoma akijitambulisha Mmoja wa Wahirki wa mashindano hayo Bi. Beatrice Mmbaga kutoka Musoma anachakata, kusafirisha na kuuza samaki na mazao yake akijitambulisha pia Bi. Silvia Dotto akijitambulisha ametokea Butimba Mwanza ni mchakataji wa dagaa za kuanika kwa jua Bi. Rosemary Luhasile  kutoka Kikundi cha uchakataji dagaa kutoka Ukerewe Mwanza kisiwa cha Izinga m...

MASHINDANO YA NGALAWA NA KUOGELEA YALIYOFANYIKA TAREHE 21/11/2015 KIGOMBE PANGANI.

Picha
Ngalawa zikiwa zimejipanga tayari kwa  mashindano Mshindi wa kwanza wa ngalaw a akikaribia kusogea nchi kavu Mshindi wa kwanza wa Ngalawa akisalimiana na  Mkurugenzi wa Hifadhi ya Bahari na Maeneo Tengefu Bw. Machumu Milali  Mshindi wa Tatu wa Ngalawa Bw. Balozi Mohammed akipewa pongezi na Mkurugenzi wa Maendeleo ya Uvuvi Bw. Hosea Mbilinyi Bw. Mohamed Mgeni mshindi namba tatu akifurahia ushindi wake Timu ya waogeleaji ikiwa tayari kwa mashindano Bi. Anitha Julius Mhifadhi Mfawidhi wa Hifadhi ya Bahari SILIKANTI Tanga akielezea Hifadhi ya Bahari ya Maeneo Tengefu huko  Kigombe Wananchi wakiangalia mashindano ya kuogelea Wasindi wa kuogelea wa kwanza kutoka kushoto ni Bw. Abasi Mohammed kutoka Kigombe ni mshindi wa kwanza  katikati ni Bw. Kibwana Masanga kutoka Pangani mshindi wa pili na kulia ni Bw. Daudi Mapungo kutoka Pangani mshindi wa tatu

MAONESHO YA UVUVI YALIYOFANYIKA KITAIFA MKOA WA TANGA TAREHE 19/11/2015 KATIKA VIWANJA VYA TANGAMANO

Picha
Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dkt. Yohana Budeba akiwasili katika viwanja vya tangamano kwa ajili ya ufunguzi rasmi wa maonesho ya uvuvi Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dkt. Yohana Budeba akisaini kitabu cha wageni alipowasili katika viwanja hivyo Mkuu wa Wilaya ya Pangani Bi. Regina Njonjo akisaini kitabu cha wageni Bi. Merisiana Sebastian Afisa Uvuvi Mkuu akimuelezea Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dkt. Yohana Budeba sera ya uvuvi Bw. Fredric Francis Afisa uvuvi I akimuelezea Katibu Mkuu Dkt. Yohana Budeba kuhusu sera za ufugaji wa samaki Bw. Omari Mohamed Afisa Mfawidhi akimuelezea Katibu Mkuu Dkt. Yohana Budeba kuhusu masuala ya ukuzaji na uzalishaji wa vifaranga vya samaki na viumbe maji Bw. Ramadhani  Mwiga mdau kutoka Feri Dar akimuelezea Katibu Mkuu  Dkt. Yohana Budeba mazao yanayovunwa kutoka Baharini Majongoo bahari (Sea cucumber) na Mwani (sea weed) katika ub...