ZIARA YA MHE. WAZIRI DKT TITUS KAMANI KATIKA SHAMBA LA NGURUWE TANDAN LTD - MKURANGA TAREHE 31/08/2015
Waziri wa Maendeleo ya Miugo na Uvuvi Dkt. Titus Kamani akisaini kitabu cha wageni mara tu alipofika TANDAN FARMS LIMITED Mkuranga Nguruwe aina ya white large kutoka Denmark katika shamba la Tandan Farms Ltd Nguruwe akinyonyesha watoto wake Mkurugenzi wa TANDAN FARMS LTD Bw. Nicholaus Kampa katikati akitoa maelezo mafupi kwa Mhe. Waziri kuhusu ufugaji wa Nguruwe Muonekano wa banda noja wapo la Nguruwe lililopo Mkuranga Nguruwe aina ya Durock kutoka Denmark katika shamba la Tandan Farms Ltd Waziri wa Maendeleo ya Miugo na Uvuvi Dkt. Titus Kaman akijibu maswali kutoka waandishi wa habari kuhusu uendelezaji wa ufugaji wa nguruwe