Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimsikiliza kwa Makini Muendesha Mada ya Livestock Modenization Initiative Dkt. Kaush Arha (hayupo pichani) Kama Utangulizi kabla ya Kuzindua Mpango huo katika Hoteli ya Kilimanjaro Jijini Dar-Es-Salaam Dkt Kaush Arha wakati akitoa Maelezo ya Utangulizi ya Mpango Kabambe wa Jitihada za Kuboresha Sekta ya Mifugo (Livestock Modenization initiative) muda mfupi kabla ya kuzinduliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Baadhi ya Washiriki wa Mpango Kabambe wa Jitihada za Kuboresha Sekta ya Mifugo (Livestock Modenization initiative) Wakimsikilisha Muongoza Mada akitoa utangulizi wa Mpango huo.(hayupo pichani) Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dkt. Yohana Budeba Akisoma Hotuba kwa niaba ya Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Mhe Dkt Titus Mlengeya Kamani kabla ya kumkaribisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...