Nav bar

Ijumaa, 20 Machi 2015

BIDHAA ZITOKANAZO NA MIFUGO KUTOKA KAMPUNI YA SCANDIA FOOD AMBAPO WAWEKEZAJI WA KAMPUNI HIYO WALIKUTANA NA WAWEKEZAJI WA TANZANIA TAREHE 20 MACHI 2015


Bidhaa zitokanao na Nyama Zilizosindikwa kutoka Kampuni ya Scandia ya Rumania
Bw. Rapes Popescu wa Kampuni ya Scandia kutoka Rumania akifungua kopo lenye nyama iliosindikwa wakati wa kukutana na Wawekezaji wa bidhaa za nyama wa Tanzania 
Bw. Rapes Popescu wa Kampuni ya Scandia kutoka Rumania akitoa maelezo kwa Wawekezaji wa bidhaa za nyama wa Tanzania (hawapo pichani)




Bidhaa mbalimbali zitokanazo na Mifugo kutoka Rumania zilizofunguliwa kama sampuli za mfano kwa Wawekezaji wa Tanzania
Bw. Rapes Popescu wa Kampuni ya Scandia kutoka Rumania akitoa maelezo kwa Mwekezaji wa bidhaa za nyama wa Tanzania
Bw. Rapes Popescu wa Kampuni ya Scandia kutoka Rumania akitoa maelezo, na  Wawekezaji wa Tanzania wakichukua sehemu ya bidhaa hizo kwaajili ya kula na kuona ubora wa bidhaa hizo
Bw. Rapes Popescu wa Kampuni ya Scandia kutoka Rumania akitoa maelezo kwa Afisa Mifugo Mkuu kutoka Idara ya Uzalishaji wa Mifugo na Masoko Bw. Nelson Kilongozi
 Bw. Haruna Muhobi kushoto na Bw. Mzava kutoka Kampuni ya Ranchi za Taifa (NARCO) wakila bidhaa za nyama kwaajili ya kuangalia ladha na ubora
 Afisa Mifugo Mkuu kutoka Idara ya Uzalishaji wa Mifugo na Masoko Bw. Nelson Kilongozi akila bidhaa zitokanazo na Mifugo kwaajili ya kuangilia ladha na ubora
Bw. Micro Boattini Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Scandia kutoka Rumania akila nyama kuthibitisha Ubora na ladha nzuri za bidhaa za Rumania
Bw. Andrei Ursulescu  wa Kampuni ya Scandia kutoka Rumania akitoa maelezo kwa mmoja  wa Wawekezaji wa bidhaa za nyama wa Tanzania
Bw. John Chobo wa Kampuni ya Chobo Investment Co. Ltd akiwa katika picha ya pamoja na Wawekezaji kutoka Rumania

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni