Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Novemba, 2014

WAZIRI KAMANI ASHIRIKI MKUTANO WA KUJADILI MKAKATI WA MAENDELEO WA SEKTA YA MIFUGO NAIROBI KENYA

Picha
Dkt . Titus Mlengeya Kamani (Mb)  Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Akishiriki   Kwenye Mkutano wa Mawaziri Wenye Dhamana ya Sekta ya Mifugo.Kujadili Mkakati wa Maendeleo wa Sekta ya Mifugo Afrika kwa Kipindi cha 2015-2035 (The Livestock Development Strategy for Africa -LiDeSa 2015-2035).  Katika ukumbi wa Mikutano wa AU-IBR Nairobi, Kenya.  Picha ya Pamoja ya Washiriki wa Mkutano wa Kujadili Mkakati wa Maendeleo wa Sekta  ya Mifugo Afrika kwa Kipindi cha 2015-2035 (The Livestock Development Strategy for Africa -LiDeSa 2015-2035).  Katika ukumbi wa Mikutano wa AU-IBR Nairobi, Kenya.   

KATIBU MKUU WA WIZARA YA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI DKT. YOHANA BUDEBA AZUNGUMZA NA WAFANYAKAZI WA WIZARA YAKE KATIKA VIWANJA VYA MVUVI HOUSE 14/11/2014

Picha
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dkt Yohana Budeba Akionyesha Kikombe kwa Juu Kama Ishara ya Furaha na Kuwapongeza Wachezaji Waliofanikisha Kupata Kikombe Hicho Ambacho ni cha Msindi wa Tatu Katika Mchezo wa Karata Mashindano ya Shimiwi Yaliyomalizika Mwezi Oktoba Morogoro Sherehe Hizo Fupi Zilifanyia Kwenye Uwanja wa Mvuvi House, Wakati wa Katibu Mkuu Kujitambulisha kwa Wfanyakazi wa Wizara     Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dkt Yohana Budeba Akimkabidhi Khatibu Muhtasi Bibi Mtage Kitule  Kikombe  cha Ushindi wa tatu cha Uchezaji Karata Kilichotolewa Wakati wa Mashindano ya Shimiwi yaliyomalizika mapema mwezi wa Oktoba 2014 Morogoro. Wakati wa Hafla fupi ya Kuzungumza na Wafanyakazi wa Wizara na na kuwapongeza kwa Ushindi huo  Mwenyekiti wa TUGHE tawi la Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi akifungu Mkutano Mfupi wa Kazi Uliomtambulisha Katibu Mkuu wa Wizara Dkt Yohana Budeba a...

Kipindi cha Mbuzi wa Maziwa

Kingolwira

RAIS AMUAPISHA KATIBU MKUU WA WIZARA YA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI

Picha
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe, Prof Jakaya Mrisho Kikwete akimuapisha Dkt Yohana Budeba kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi   Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Prof Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dkt Yohana Budeba Vitendea kazi vya Wizara yake Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe, Prof Jakaya Mrisho Kikwete akimtakia Heri Dkt Yohana Budeba kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi   Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu Bibi Tabu Chando  akimkabidhi maua Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dkt Yohana Budeba, kama ishara ya kumkaribisha Wizarani katika Majukumu yake Mapya