Nav bar

Jumatano, 6 Septemba 2023

ULEGA AFAFANUA MIKAKATI NA MIPANGO MBALIMBALI KWA WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI KUELEKEA KWENYE MKUTANO WA JUKWAA LA MIFUMO YA CHAKULA BARANI AFRIKA

 


Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega  akifafanua mikakati na mipango mbalimbali ya Wizara wakati  akiongea na  Wahariri wa Vyombo vya Habari katika Mkutano na Wahariri hao kuhusu Mkutano wa Jukwaa la Mifumo ya Chakula Barani Afrika. Mkutano huo umefanyika  jijini Dar es Salaam  Septemba 3, 2023.

Sehemu ya Wahariri wa Vyombo vya Habari wakimsikiliza Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega (hayupo pichani) wakati akieleza mikakati na mipango ambayo wizara inayo katika kuendeleza Sekta za mifugo na uvuvi. Mkutano huo umefanyika  jijini Dar es Salaam  Septemba 3, 2023.




Hakuna maoni:

Chapisha Maoni