Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Oktoba, 2016

KUSITISHA KWA ZOEZI LA UPIGAJI CHAPA KWA NG'OMBE ILIYOFANYIKA TAREHE 25/10/2016

Picha

MELI ZA UVUVI KATIKA BAHARI KUU KUTOKA CHINA ZATIA NANGA ZANZIBAR KWA MARA YA KWANZA TAREHE 27/10/2016

Picha
Meli   mbilii za Uvuvi katika bahari kuu Tao Hang 1 na Tao Hang 7 zimetia nanga katika bandari ya Zanzibar kwa   mara ya kwanza kwa Madhumuni ya kukaguliwa na kushusha shehena ya samaki ambao hawawahitaji   (Bycatch). Meli hizi mbili baada ya kuwasili wataalam wa Uvuvi kutoka mamlaka ya Uvuvi katika bahari kuu walienda kuikagua iwapo inakidhi vigezo vya Uvuvi katika bahari kuu na kuzipatia leseni ya Uvuvi hapa kwetu. Baada ya ukaguzi meli hizi zilionekana kukidhi matwakwa yaliyokuwa yanahitajika na zilipewa leseni ya kuvua katika bahari kuu. Aidha samaki ambao walivuliwa kwa bahati mbaya na ambao wao hawawahitaji walishushwa na kuuzwa kwa wananchi mjini Zanzibar. Mojawapo la sharti ya kupewa leseni ni kuleta samaki hao na kuwauzia wananchi katika nchi husika Hivi karibuni serikali ilisimamisha utoaji wa leseni hizi na   kuzifanyia maboresho ili serikali iweze kufaidika zaidi kutokana na Uvuvi katika bahari kuu. Maboresho hayo yamefanyika na ...

WAKUU WA VITENGO WAWILI WASTAAFU KAZI NA KUAGWA NA WATUMISHI TAREHE 17/10/2016 MVUVI HOUSE

Picha
keki zilizoandaliwa na Watumishi wa Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi kwa ajili ya kuwaaga wastaafu wa Wizara hiyo iliyofanyika Mvuvi House   Mkurugenzi wa Ugavi na Manunuzi Bw. Gastory Lugali akiwa na Mkurugenzi wa Utafiti, Mafunzo na Ugani   Bw. Herbert wakikata keki kwa pamoja iliyoandaliwa na Watumishi wa Wizara hiyo Mkurugenzi wa Ugavi na Manunuzi Bw. Gastory Lugali akiwa na Mkurugenzi wa Utafiti, Mafunzo na Ugani   Bw. Herbert Lyimo wakilishana keki hiyo Mkurugenzi wa Utafiti wa mafunzo na Ugani  Bw. Herbert Lyimo akizungumza machache na kuwaaga Watumishi wote kwa kushirikiana kufanya kazi  kwa umoja na kuwatakia kila la kheri katika kujenga taifa Mkurugenzi wa Manunuzi na Ugavi Bw. Gastory Lugali akitoa machache na kuwasihi watumishi kuwa na umoja na mshikaano ili kufikia malengo Katibu Mkuu Mifugo Dkt. Mary Mashingo akilishwa keki na     Mkurugenzi wa Utafiti, Mafunzo na Ugani  Bw. Herbert Lyimo Katibu Mkuu Uvuvi...

TENDER No.ME/021/2015-16/SWIOFISH/C/10 PROVISION FOR CONSULTANCY SERVICE TO DEVELOP BUSINESS PLAN FOR NYAMISATI, KILINDONI AND MASOKO PWANI FISH LANDING SITES

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA MINISTRY OF AGRICULTURE, LIVESTOCK AND FISHERIES (FISHERIES) SOUTH WEST INDIAN OCEAN FISHERIES GOVERNANCE AND SHARED GROWTH PROGRAM (SWIOFish) PROJECT- IDA CREDIT No.5589-TZ REQUEST FOR EXPRESSIONS OF INTEREST Assignment Title :  PROVISION FOR CONSULTANCY SERVICE TO DEVELOP BUSINESS PLAN FOR NYAMISATI, KILINDONI AND MASOKO PWANI FISH LANDING SITES Reference No. TENDER No. ME/021/2015-16/SWIOFish/C/10 The Government of the United Republic of Tanzania has received financing from the World Bank toward the cost of the South West Indian Ocean Fisheries Governance and Shared Growth program – SWIOFish , and intends to apply part of the proceeds for consulting services. The consulting services (“the Services”) include 1.     Identify and analyze current demand for the landing sites and likely evolution of that demand over the next 5 years, including revenues earned from that demand and the cost of opera...

TENDER No.ME/021/2015-16/SWIOFISH/C/0

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA MINISTRY OF AGRICULTURE, LIVESTOCK AND FISHERIES (FISHERIES) SOUTH WEST INDIAN OCEAN FISHERIES GOVERNANCE AND SHARED GROWTH PROGRAM (SWIOFish) PROJECT- IDA CREDIT No.5589-TZ REQUEST FOR EXPRESSIONS OF INTEREST Assignment Title :  PROVISION OF CONSULTANCY SERVICES TO CONDUCT VALUE CHAIN ANALYSIS FOR THE FISHERIES SECTOR IN THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA Reference No. TENDER No. ME/021/2015-16/SWIOFish/C/09 The Government of the United Republic of Tanzania has received financing from the World Bank toward the cost of the South West Indian Ocean Fisheries Governance and Shared Growth program – SWIOFish , and intends to apply part of the proceeds for consulting services. The consulting services (“the Services”) include       i.         Benchmark the competitiveness (productivity and costs) of a selected group of fisheries products against competitors in a rep...