Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Julai, 2016

MHE NAIBU WAZIRI ATEMBELEA BOKO FISH FARMING ILIYOPO KIGAMBONI TAREHE 29/06/2016

Picha
Naibu Waziri wa Kilimo Mifugo na Uvuvi Mhe. William Tate Ole Nasha atembelea shamba la BOKO FI SHING FARM lililopo Kigamboni Mji mwema.   Mfanyakazi wa BOKO FISH FARMING akionesha samaki aina ya Kambale

ZIARA YA NAIBU WAZIRI NA WAANDISHI WA HABARI KATIKA KAMPUNI YA INTERCHICK MBEZI MAKONDE TAREHE 28/07/2016Mhe.

Picha
Naibu Waziri wa Kilimo Mifugo na Uvuvi Mhe. William Tate Ole Nasha akizungumza na wafanyakazi wa Kampuni ya Interchick iliyopo mbezi Naibu Waziri wa Kilimo Mifugo na Uvuvi Mhe. William Tate Ole Nasha akipewa maelezo jinsi ya kuchanganya chakula cha kuku Chakula cha kuku Naibu Waziri wa Kilimo Mifugo na Uvuvi Mhe. William Tate Ole Nasha akiuliza swali  kwa Mtendaji Mkuu wa Kampuni Bw. Orson Taylor
Picha
MKUTANO WA MHE CHARLES TIZEBA  WAZIRI WA KILIMO MIFUGO NA UVUVI NA WAANDISHI WA HABARI 13/7/2016 Na ,GCU (Mifugo na Uvuvi) Waziri wa Kilimo Mifugo na Uvuvi leo hii amewasimamisha kazi maafisa waandamizi wakuu wa taasisi mbalimbali katika Wizara ya Kilimo Mifugo na Uvuvi baada ya kugundua kuwa kulikuwa na ukiukaji mkubwa katika taratibu za uendeshaji wa taasisi zao. Mhe. Waziri ametangaza haya  wakati wa Mkutano na Waandishi wa habari katika ukumbi wa Kilmo 1 jijini Dare es salaam leo hii 13/7/2016 .  Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi Dkt. Charles Tizemba akiongea na waandishi wa habari kulia kwake ni Katibu Mkuu (U) Dkt. Yohana Budeba Alisema kwamba hali ya chakula kwa ujumla hapa nchini ni nzuri kwa ujumla  pamoja na kuwa  tathmini ya kiasi cha mazao yanayotakiwa kuvunwa  bado haijafanyika. Alieleza kuwa kumekuwa na ununuzi mkubwa wa chakula kutoka kwa wakulima kabla ya kufanya tathmini ambapo ni kinyume na utaratibu. Ameagiza tathmini...

MKUTANO WA MAJADILIANO KUHUSU "SUSTAINABLE FISHERIES PARTNERSHIP AGREEMENT" (SPPA) KATI YA TANZANIA NA NCHI ZINAZOUNDA JUMUIYA YA UMOJA WA NCHI ZA ULAYA ILIYOFANYIKA MVUVI HOUSE TAREHE 01/07/2016

Picha
Katibu Mkuu wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi (U) Dkt. Yohana Budeba akifungua mkutano kuhusu Sustainable Fisheries Partnership Agreement (SFPA) " kati ya Tanzania na nchi zinazounda Jumuiya ya Umoja wa nchi za ulaya". kushoto kwake ni Mkurugenzi wa Maendeleo ya Uvuvi Bw. Hosea Mbilinyi na kulia ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi Dkt. Islam Seif kutoka Zanzibar Mkurugenzi wa Maendeleo ya Uvuvi Bw. Hosea Mbilinyi akitoa maelezo mafupi kuhusu uvuvi na kujadili kuhusu uzoefu kutokaTaasis mbalimbali kuhusu SFA katika nchi zilizojiunga kulia kwake ni Katibu Mkuu (U) Dkt. Yohana Budeba (kushoto) ni Naibu Mkururgenzi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bahari Kuu Dkt. Omary Amiri Wakurugenzi na Watumishi  kutoka  WWF, DSFA, ZMA, FETA, MPRU, na TAFIRI wakisikiliza taarifa inayosomwa na Katibu Mkuu (U) Dkt. Yohana Budeba hayupo Pichani Katibu Mkuu (U) Dkt. Yohana Budeba akisoma taarifa yake kwa Wakurugenzi, Watumishi kutoka Taasis mbalimbali kuhusu SFA ...