Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Oktoba, 2014

SHAMBA LA KUTOTOLESHA VIFARANGA VYA SAMAKI NA WATENGENEZAJI WA CHAKULA CHA SAMAKI EDEN AGRI-AQUA LTD PUGU KINYAMWEZI DAR-ES-SALAAM TANZANIA

Picha
Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt Titus Kamani mara baada ya kuwasili katika shamba la Eden Agri-Aqua LTD na kupokelewa na mwenyeji wake Bw William Bwemelo katika eneo la Pugu Kinyamwezi nje kidogo ya Jiji la Dar-es-salaam Waziri Kmani akaribishwa katika Ukumbi wa Mkutano wa shamba la Eden Agri-Aqua LTD Katibu wa Waziri Bw Eliukana  Mwakipesile, akifatilia jambo wakati wa maelezo ya Mmiliki wa shamba la Eden kwa Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt Titus Kamani hayupo pichani  Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt Titus Kamani akiangalia utotoleshaji wa vifaranga vya samaki aina ya perege kwenye shamba la Eden Agri-Aqua LTD lililopo nje kidogo mwa Jiji la Dar-es-salam Pugu Kinyamwezi Mmiliki wa shamba la Eden Bw William Bwemelo akimuonyesha Waziri Kamani Mtungo wa hewa ya Oxygen inayotumika kuweka kwenye vyombo vya kusafirishia vifaranga vya samaki wateja wanaponunua Meneja wa shamba la uzalisha...

WAZIRI KAMANI ATEMBELEA SHAMBA LA SAMAKI WA MAPAMBO UKONGA CICHILD FARM WALIO NA SOKO ZURI NJE YA NCHI

Picha
Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi  Mhe. Dkt Titus Kamani alipotembelea shamba la samaki wa mapambo aina ya Cichild Farm Ukonga, samaki  wanaopatikana ziwa Tanganyika wenye upekee duniani Waziri Kamani akionyesha samaki wa aina mbalimbali ambao alipata maelezo yake jinsi ya kuwapata, kuwahifadhi kuwasafirisha na kukaa kwa muda Cichld Farm  Ukonga kabla ya kusafirishwa nje ya nchi Waziri Kamani akijaribu kumkamata mmoja wa samaki hao na kumuangalia kwa karibu, pembeni mwa Waziri mwenye kofia ni Meneja anayehudumia shammba hilo Bw Yusuf Mohammed Kifaa aina ya Scoop kinaachotumika kumchota samaki bila kupata madhara Muangalizi wa shamaba na mtaalam wa kusafirisha samaki kutoka Kigoma mpaka Dar-es-salaam Mkurugenzi wa shamba la Ukonga Cichld Farm Bibi Sophia Mruma  akimuelezea Mhe ...