Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Februari, 2014

MAFUNZO KWA WAFUGAJI WA ASILI YALIYOFANYIKA WILAYA YA MVOMERO

Picha
MAFUNZO KWA WAFUGAJI YALIYOFANYIKA WILAYA YA MVOMERO    Wafugaji wa Mvomero wakifatilia kwa makini mafunzo yanayotolewa na Idara ya Utafiti Mafunzo na Ugani       Bibi Bezia Rwengenzibwa akitoa Mafunzo ya Ufugaji Bora kwa Wafugaji wa Asili wa Mvomero 

MSTAAFU ALIYETUKUKA DR THERESIA PONELA MLELWA KATIKA KIKAO CHA MWISHO CHA HOD WIKI MOJA KABLA YA TAREHE YA KUSTAAFU

Picha
   Dr Theresia Ponela Mlelwa Msajili wa Baraza la Veterinary Tanzania       Wanaoonekana hapo juu ni Wakuu wa Idara na Vitengo wakiwa katika kikao cha HOD   Dr Theresia Ponela Mlelwa akiwa katika kikao cha HOD Jumatatu rarehe 31/02/2014  

ZIARA YA MHE. WAZIRI DKT TITUS MLENGEYA KAMANI KIWANDA CHA CHANJO KIBAHA

Picha
  Jengo la  Uzalishaji wa Chanjo lililopo Kibaha      Mhe Waziri Dkt Titus Mlengeya Kamani akipata maelezo kabla ya kuingia ndani  katika kiwangda cha chanjo Kibaha     

TEMBELEA BAHARI YA HINDI ENEO LA PWANI YA MAFIA INAYOTUNZWA NA KUHIFADHIWA YENYE MATUMBAWE BORA, YANAYOZALISHA SAMAKI NA VIUMBE VINGINE VYA KWENYE MAJI, HII IKIWA NI UHIFADHI BORA WA MAENEO TENGEFU NA MATUMIZI YA ZANA BORA ZA UVUVI NJE YA MAENEO TENGEFU. YAKE.

Picha
              Katika picha ni Mwalo wa kupokelea samaki katika Pwani ya Mafia. Uwepo wa Mwalo huongeza dhmani ya Usalama na Ubora wa mazao yatokanayo na Uvuvi      WAVUVI WAKIWA KATIKA SHUGHULI ZAO ZA KILA SIKU   Afisa Uvuvi Bw Kavishe akionyesha ukubwa na ubora wa samaki wanaovuliwa kutokana na utuzaji na uhifadhi wa Maeneo Tengefu ya Bahari    IONEKANAYO HAPO CHINI SIO KABICHI//////////////////////////////////////////  Aina mbalimbali ya Matumbawe ambayo ndio maeneo ya mazalia ya samaki na viumbe kwenye maji. Upigaji wa mabomu na uvuvi usiofata taratibu halali na zana bora huharibu matumbawe, hivyo viumbe kwenye maji wanaotegemea kuzaliana kupitia matumbawe hutoweka   

KATIBU MKUU WA WIZARA YA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI AKABIDHI MWALO WA NYAMISATI KWA HALMASHAURI YA RUFIJI

Picha
 Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dkt Charles Nyamrunda akipitia karatasi za makabidhiano na kuzisaini wakati wa kukabidhi Mwalo wa Nyamisati kwa Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Rufiji Bw Abdala Kiparanga.    karibu Mkuu akisaini karatasi za makabidhiano pembeni yake ni Mkurugenzi Msaidizi Usalama na Ubora wa Samaki na Mazao ya Uvuvi Bibi Mwanaidi Mlolwa  Baadhi ya Wanakikundi cha Ulinzi Shirikishi wa Mazingira ya Bahari (BMU) wakifatilia kwa makini wakati wa makabidhiano hayo Mvuvi na Mfanyabiashara wa samaki aina ya Kambamiti na Kaa Bw Msham . Katika picha anmuandaa kaa kwa ajili ya kumpima uzito na kumuuza kwa wateja wake.