Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Januari, 2014

UONGOZI WA MKOA WA SINGIDA UKUINGOZWA NA MKUU WA MKOA DKT PALASEKO KONE WALIPOTEMBELEA TALIRI -MPWAPWA

Picha
MKUU WA MKOA WA SINGIDA AKIWA NA WAKUU WA WILAYA ZA SINGIDA KATIKA PICHA YA PAMOJA MARA BAADA YA KUWASILI TALIRI MPWAPWA    Add captio

KARIBU WIZARA YA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI

Picha
 NAIBU WAZIRI WA WIZARA YA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI MHE. KAIKA TELELE SANING"O AKIKARIBISHWA WIZARANI NA KAIMU KATIBU MKUU BIBI CATHERINE JOSEPH.  Afisa Utumishi Bibi Ngele akimkabidhi maua Naibu Waziri kama ishara ya Upendo, Ukarimu na Kumkaribisha Wizarani kwa. Mhe. Naibu Waziri akisaini kitabu cha Wageni kutoka Idara , Vitengo na Wakala za Wizara zilizopo ndani ya Makao Makuu ya Wizara. Mhe. Naibu Waziri akifafanua jambo kwa watendaji Wakuu waliomkaribisha Wizarani  Mhe. Naibu Waziri akibadilishana mawazo na Watendaji Wakuu waliompokea Ofisini kwake Makao Makuu ya Wizara Mvuvi House Anayeonekana katika picha ni Afisa Utumishi Bibi Ngele na Afisa Mawasiliano Bw Bernard Kaali wakifatilia kwa makini mazungumzo ya Mhe Naibu Waziri hayupo pichani Mtoa Huduma kwenye Ofisi ya Naibu Waziri Bibi Victoria Mwaikono akitoa huduma kwa wageni wakati wakibadilishana mawazo na Naibu Waziri  Kaimu Katibu Mkuu...

KIKAO KAZI CHA KUMKARIBISHA WAZIRI WA MMUV NA KUAGA WASTAAFU TAREHE 24 JANUARI 2014.

Picha
 Mhe.Waziri wa MMUV Dk.Titus Mlengeya Kamani wa pili kutoka kushoto, Naibu katibu Mkuu wa kwanza kushoto katikati ni Mwenyekiti wa Baraza la Wafanyakazi Mifugo na Uvuvi Bw Seremala na  kulia ni Mkurugenzi wa Rasilimali Watu Bibi Theresia Munghanga  Hawa ni baadhi ya Wastaafu wa MMUV wakipiga makofi muda mfupi baada ya Mhe. Waziri wa MMUV kuwasili viwanja vya Wizara.  Baadhi ya Wafanyakazi wa Wizara ya MMUV wakiwa katika kikao kazi cha kumkaribisha Waziri wa MMUV Mhe. Dk. Titus Kamani Mlengeya na kuwaaaga wastaafu.  Hawa ni baadhi ya wakuu  wa Idara wakiwa katika viwanja vya Wizara ya MMUV wakifuatilia kikao kazi.  Waziri wa MMUV Mhe.Dkt Titus Kamani wa pilikushoto , Naibu Katibu Mkuu Dkt. Yohana Budeba wa kwanza kushoto wa tatu ni Mwenyekiti wa Baraza la Wafanyakazi la Wizara Bw Seremala Mwisho kulia ni Mkurugenzi wa Rasilimali Watu Bibi Theresia   Baadhi ya wakuu  wa Idara na Vitengo wakiwa katika viw...