Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Juni, 2024

PROF. SHEMDOE ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO YA ALIYEKUWA KATIBU TAWALA WA MKOA WA KILIMANJARO NDUGU TIXON NZUNDA

Picha
Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi Prof. Riziki Shemdoe akisaini Kitabu cha Maomboleza ya aliyekuwa Katibu Tawala   wa Mkoa wa Kilimanjaro (RAS) Bw.Tixon Tuyangine Nzunda   jana tarehe 21 Juni, 2024 nyumbani kwake Goba, Dar es Salaam.