![]() |
Makatibu wa kuu kutoka Idara kuu Mifugo na Uvuvi Dkt. Yohana Budeba akifatiwa na Dkt. Mary Mashingo kushoto ni Mkurugenzi msaidizi wa Utawala Bw. S.C.Liganga |
![]() |
Mkurugenzi Msaidizi wa Utawala Bw. S.C. Liganga akitoa maelezo kidogo kwa Makatibu wa kuu (hawapo pichani) |
![]() |
Mkurugenzi wa Ugavi na manunuzi Bw. Gastory Lugali afurahia ushindi huo |
![]() |
![]() |
Mkurugenzi wa Huduma za mifugo Dkt. Abdi Hayghaimo ashikilia kombe kwa furaha |
![]() |
Makatibu wa kuu kutoka Idara kuu Mifugo na Uvuvi Dkt. Yohana Budeba afurahia kombe kulia ni Dkt. Mary Mashingo kushoto ni Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali watu Bi. Tabu Chando |