SIKU YA PILI YA KUPITIA HOJA ZA WAVUVI WADOGOWADOGO WA FERRY DAR-ES-SALAAM BUNGENI DODOMA
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dkt Yohana Budebaakiongea na Afisa Bunge wa Wizara MUV muda mfupi kabla ya kuingia kwenye kikao cha kukutana na Kamati ya Bunge ya Kilimo , Maji na Mifugo Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi akisalimiana na Katibu wa Kamati ya Wavuvi Wadogowadogo kutoka Ferry Dar-es-salaam, Wavuvi hao waliwasilisha Hoja zao kwa Kamati ya Bunge na kuomba zipatiwe Majibu. Katika picha ni Katibu Mkuu wa Wizara akisalimiana na Wavuvi Wadogowadogo kutoka Ferry Dar-es-salaam Katika picha ni Katibu Mkuu wa Wizara akisalimiana na Wavuvi Wadogowadogo kutoka Ferry Dar-es-salaam Katika picha ni Katibu Mkuu wa Wizara akisalimiana na Wavuvi Wadogowadogo kutoka Ferry Dar-es-salaam akibadilishana nao mawazo kabla ya kuingia katika Kamati ya Bunge ya Kilimo Maji na Mifugo Afisa wa Bunge kushoto na Mkurugenzi wa Uzalishaji wa Mifugo na Masoko Bibi Anuciata Njombe , pembeni ni Afisa Mawasiliano wa...