Machapisho
Inaonyesha machapisho kuanzia Machi, 2014
WIZARA YA MAEDNELEO YA MIFUGO NA UVUVI YAFANYA PRESS CONFERENCE KATIKA VISIWA VYA BONGOYO 21/03/2014 KM CHACHE KUTOKA UFUKWE WA BAHARI YA HINDI SLIPWAY DAR-ES-SALAAM
- Pata kiungo
- X
- Barua pepe
- Programu Nyingine
MKUTANO WA WADAU SEKTA YA MIFUGO TAREHE 08/03/2014 KATIKA UKUMBI WA VETA DODOMA
- Pata kiungo
- X
- Barua pepe
- Programu Nyingine
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dkt Charles Nyamrunda ,akimkaribisha Waziri Mhe. Dkt Titus Mlengeya Kamani,kulia kwa waziri ni Naibu Waziri Ole Telele na pembeni ni Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kilimo, Maji na Mifugo Mhe Said Mkuwba Baadhi ya Wajumbe waliohudhuria Mkutano wa Wadau wa Sekta ya Mifugo katika Ukumbi wa VETA Dodoma Wadau wa Sekta ya Mifugo wakifatilia kwa karibu yale yanayosemwa na Mhe. Waziri hayupo pichani Mkurugenzi wa Uzalishaji wa Mifugo na Masoko Bibi Anuciata Njombe akijibu baadhi ya hoja za Wadau MC na Mkurugenzi Msaidizi Bw Mwita akitoa maelezo wakati wa Kikao cha Wadau wa Sekta ya Mifugo kilichofanyika katika Hoteli ya VETA DODOMA Bw Conrad Ndoma Afisa Mazingira katika Idara ya Uzalishaji wa Mifugo na Masoko ambaye ni Sekretarieti ya Mkutano wa Wadau wa Sekta ya Mifugo Khatibu Muhtasi Bi, ................... akiwa katika sh...
MKUTANO WA WADAU SEKTA YA UVUVI TAREHE 07/03/2014 KATIKA UKUMBI WA VETA DODOMA
- Pata kiungo
- X
- Barua pepe
- Programu Nyingine
Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Mhe Dkt Titus Mlengeya Kamani akiongea na Wadau wa Sekta ya Uvuvi wakati wa Kikao kilichofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya VETA Dodoma Pembeni mwa Waziri ni Kaimu Mkurugenzi Bibi Valeria Mushi Muwakilishi wa Benki ya NMB alitoa Mada ya upatikanaji wa Mikopo kwa Wadau wa Sekta ya Uvuvi Mwakilishi wa Benki ya Twiga BANCOCK ambaye naye aliwakilisha ni jinsi gani Benki yake inaweza kusaidiana na Wadau wa Sekta ya Uvuvi Bw .................... Muwakilishi wa Benki ya CRDB BW .................ambaye alitoa tamko la kufungua milango wazi kwa Wadau wa Sekta ya Uvuvi Muwakilishi wa Wadau wa Sekta ya Uvuvi kutoka Mkoa wa Tanga BW Mohamed ambaye anatokea eneo la Deep Sea Tanga Kaimu Mkurugenzi wa Maendeleo ya Uvuvi Bibi Valeria Mushi akiwa na Mjumbe na Secretariet ya Kikao cha Wadau ambaye pia ni Mkurugenzi Msaidizi upande wa Maji Baridi BW Kajitanus Osewe...