Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Julai, 2011

SHEREHE ZA KUTOKOMEZA SOTOKA TANZANIA

Picha
Picha
TAARIFA YA MSIBA  PICHA ZA MSIBA WA ALIYEKUWA MKURUGENZI WA UTAWALA NA MENEJIMENTI YA RASILIMALI WATU MAREHEMU JOHN PATRICE YAMO MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALA PEMA PEPONI AMINA  

WAZIRI ATEMBELEA RANCHI YA KONGWA DODOMA

Picha
Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt David Mathayo David,  akihutubia wananchi na wafanyakazi wa Ranchi ya Kongwa wakati wa Uzinduzi wa Duka la Kisasa la kuuza nyama Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt David Mathayo David (MB) akiangalia ghala la kuhifadhia malisho ya mifugo Ranchi ya Kongwa    Waziri wa Mendeleo ya Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt David Mathayo David (MB) akiwa katika  picha ya pamoja na Uongozi wa Shirika la Ranchi za Taifa  (NARCO)