Machapisho
Inaonyesha machapisho kuanzia Julai, 2011
WAZIRI ATEMBELEA RANCHI YA KONGWA DODOMA
- Pata kiungo
- X
- Barua pepe
- Programu Nyingine
Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt David Mathayo David, akihutubia wananchi na wafanyakazi wa Ranchi ya Kongwa wakati wa Uzinduzi wa Duka la Kisasa la kuuza nyama Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt David Mathayo David (MB) akiangalia ghala la kuhifadhia malisho ya mifugo Ranchi ya Kongwa Waziri wa Mendeleo ya Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt David Mathayo David (MB) akiwa katika picha ya pamoja na Uongozi wa Shirika la Ranchi za Taifa (NARCO)