Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia 2011

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA             WIZARA YA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI Serikali kupitia Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi imepanga kuajiri maafisa walioorodheshwa hapa chini katika mwaka 2011/12 hivyo tunapenda   kuwatangazia Watanzania wote wenye sifa zilizoainishwa watume barua za maombi ya kazi zifuatazo: 2. Daktari Mifugo Mkufunzi Daraja la II (Veterinary Tutor II) (Nafasi 5) (a)                Sifa za waombaji Wawe wamehitimu Shahada ya kwanza   ya Sayansi ya tiba ya Mifugo kutoka Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine au Chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali waliosajiliwa na Bodi ya Madaktari wa Mifugo Tanzania (b)                Majukumu -              ...

WAZIRI ATEMBELEA WILAYA YA MVOMERO TAREHE 01/03/2012

Picha
Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dkt David Mathayo David  akisalimiana na viongozi wa Wilaya ya Mvomero  Mhe. Waziri akisalimiana na Mkurugenzi Msaidizi wa Matuminzi Bora ya Ardhi Dkt Maria Mashingo  Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mvomero Bibi Joyce Mengele, akisoma taarifa ya Wilaya ya Mvomero.  Mwenyekiti wa CCM wa Wilaya ya Mvomero akiandika wakati Mkurugenzi akitoa Taarifa ya Wilaya kwa Mhe Waziri.   Mhe Waziri akitaka ufafanuzi fulani kutoka kwa watendaji wa Halmashauri hiyo.  Msafara wa Waziri uliwasili katika Kijiji cha Dakawa Sokoine na picha onaonyesha Baadhi ya waliongozana na Mhe waziri wakisalimia wafugaji mara walipowasili kijijini hapo.  Wanakijiji wameketi huku wakimsikiliza Mkuu wa Msafara Afisa Tawala wa Wilaya, akimkaribisha Waziri na Ujumbe wake na Ujumbe wa Kijiji kusoma Risalla yao kwa Mgeni Rasmi     ...