Nav bar

Jumanne, 12 Agosti 2025

MIFUGO NA UVUVI YASHIKA NAFASI YA KWANZA MAONESHO YA NANENANE

Wizara ya Mifugo na Uvuvi imeshinda kwa kushika nafasi ya Kwanza katika tuzo za Maonesho ya Nane Nane Kitaifa  kwa kundi la Wizara za Kisekta kwenye Maonesho ya Nane Nane ya Kitaifa yaliyofanyika katika Uwanja wa Nzuguni Dodoma Kuanzia Tarehe 1, hadi 8 Agosti, 2025.
















Hakuna maoni:

Chapisha Maoni