Nav bar

Alhamisi, 15 Desemba 2016

UTARATIBU WA KUPATA HUDUMA IDARA YA UKUZAJI VIUMBE KWENYE MAJI


 IDARA YA UKUZAJI VIUMBE KWENYE MAJI

Idara ya Ukuzaji Viumbe kwenye Maji ina jukumu la kuratibu mazingira rafiki ya uwekezaji kwa kutoa miongozo mbalimbali kutegemea na aina za uwekezaji. Taratibu za uwekezaji zitafuata miongozo na taratibu zilizopo kulingana na viwango vilivyopo nchini na kimataifa pamoja na kuzingatia hifadhi ya mazingira na uendelezaji wa rasilimali za uvuvi (Fisheries Investment Guidelines and  The Environmental management Act).
1.0 Mchango wa Idara ya Ukuzaji Viumbe kwenye Maji katika uwekezaji
 Idara ina wajibu wa kutoa ushauri juu ya mambo mbalimbali katika uwekezaji ambayo ni pamoja na;
  1. Taratibu za kufuata kabla ya uwekezaji;
  2. Sheria zilizopo;
  3.  Eneo linalofaa kwa uwekezaji;
  4. Aina ya viumbe wanaofaa kufugwa/kulimwa kwa kufuata kanuni za .uvuvi na "FAO code of conduct for transfer of species" (1988); na
  5. Teknolojia sahihi ambazo hazina athari kwa mazingira, zinazofaa kiuchumi na zinazokubalika katika jamii
2.0 Sekta au taasisi zingine za kupata taarifa na ushauri juu ya uwekezaji
Uwekezaji katika ukuzaji viumbe kwenye maji unajumuisha sekta na taasisi nyingi kutegemea na mradi au uwekezaji husika  kama:
1.    Idara ya misitu- kuangalia athari katika misitu hasa jamii ya mikoko na misitu mingine
2.    Idara ya wanyamapori (athari katika hifadhi za wanyama)
3.    Idara ya malikale kuangalia athari katika kumbukumbu na tamaduni zilizohifadhiwa (culture and archeologicals)
4.    Sekta ya mazingira  (NEMC) –tathmini ya athari za mazingira (EIA)
5.    Kituo cha uwekezaji   (TIC) – kupata leseni za biashara ,ardhi kwa ajili ya biashara na motisha kwa ajili ya biashara kwa wawekezaji kwenye miradi mikubwa Mamlaka ya bandari (TPA) – tahadhari ya mwingiliano wa maeneo na usalama wa maji
6.     Idara ya ardhi –  upatikanaji wa hati miliki za ardhi
7.    Serikali za mitaa – upatikanaji wa eneo pamoja na sheria ndogo zilizopo.
8.    Mamlaka ya maji – kibali cha kutumia maji.
9.    Idara ya masoko - kupata taarifa za masoko
10. Taasisi za utafiti – kupata taarifa zilizofanyiwa tafiti husika
3.0 Taratibu za kupata vibali na leseni za mazao yatokanayo na viumbe wanaokuzwa kwenye maji
Vibali na leseni zote za mazao yatokanayo na viumbe wanaokuzwa kwenye maji zinatolewa na Mkurugenzi wa Idara ya Ukuzaji Viumbe kwenye Maji, chini ya Sheria ya uvuvi Na. 22 ya mwaka 2003 na Kanuni za uvuvi za mwaka 2009; kama ifuatavyo:-
• Leseni za biashara ya kuuza mazao yatokanayo na viumbe wanaokuzwa kwenye maji. Utolewaji wa leseni hizi umegawanywa katika sehemu kuu mbili (2)
Sehemu ya kwanza
  1. Leseni zinazotolewa na Serikali za Mitaa (Local Government). Leseni hizo ni kama ifuatavyo.-
  2. Leseni za biashara ya kuuza mazao yatokanayo na viumbe wanaokuzwa kwenye maji ndani ya nchi,
Sehemu ya Pili
 Leseni zinazotolewa na Serikali Kuu (Central Government licence). Leseni hizo ni:
  1. leseni za kusafirisha nje ya nchi mazao yatokanayo na viumbe wanaokuzwa kwenye maji
  2.  Leseni za kuingiza nchini mazao yatokanayo na viumbe wanaokuzwa  kwenye maji (kutoka nchi za nje) ikiwa ni mpango na vibali vitatu vya:
(i)   Kusafirisha nje ya nchi samaki hai kama; Kaa, Kamba koche, Samaki wa mapambo, Mwani na mazao mengine ya viumbe wakuzwao kwenye maji
(ii)  Kuingiza samaki hai ambao hawana asili ya Tanzania kama ; Blue gill sun fin (Catollioperca marcothira), "Chinese carps" na jamii nyingine
(iii) Kuingiza nchini samaki au mazao yatokanayo na ukuzaji viumbe kwenye maji (Aquaculture products)
·         Pia wizara hutoa Leseni maalum kwa ajili ya usafirishaji wa mazao ya Ukuzaji viumbe kwenye maji kwa muda maalum kwa sababu za:
1.    Utafiti
2.    Matumizi ya nyumbani (chini ya kilo 7) na
3.     Mafunzo

Mahitaji muhimu kwa raia wa Tanzania;-                                                         
1.    Barua ya utambulisho kutoka kwa Afisa ukuzaji viumbe kwenye maji Wilaya au Manispaa,
2.    Leseni hai ya kukusanya mazao yatokanayo na viumbe wanaokuzwa kwenye maji iliyotolewa na Wilaya au Manispaa
3.    Formu ya maombi ya leseni ya biashara ya mazao yatokanayo na viumbe wanaokuzwa kwenye maji
4.     Leseni ya Biashara inayotolewa chini ya Sheria ya kutoa leseni za Biashara (Business Licensing Act),
5.    Namba ya utambulisho ya kulipa kodi (Tax Identification Number)
6.    Uthibitisho wa uraia (hati ya kusafiria au cheti cha kuzaliwa au kitambulisho cha utaifa ) wa mmiliki/wamiliki wa kampuni,
7.    Cheti cha kuandikishwa kilichotolewa kwenye kumbukumbu (Certificate of Registration and Extract from Register), or
8.     Hati ya makubaliano na hati ya ubia (Memorandum of Understanding and Articles of Associations), na
9.     Cheti cha ushiriki (Certificate of Incorporation)


Nyaraka zinazohitajika katika kupata leseni kwa asiye raia ni pamoja na;-
  1. Barua ya utambulisho kutoka kwa Afisa Uvuvi/ Ukuzaji viumbe kwenye maji wa Wilaya au Manispaa,
  2.  Uthibitisho wa uraia (cheti eha kuzaliwa au hati ya kusafiria "passport"),
  3. Kibali halali cha kufanya kazi nchini (valid work permit) 
  4. Fomu ya maombi ya leseni ya biashara ya mazao yatonayo na ukuzaji viumbe kwenye maji,
  5. Leseni hai ya Biashara inayotolewa chini ya Sheria ya kutoa leseni za Biashara (Business Licensing Act),

Wizara inazidi kuwakumbusha wadau wote wa sekta ya uvuvi kuwa kwa mujibu wa Sheria ya uvuvi Na. 22 ya mwaka 2003 na Kanuni zake za mwaka 2009 "leseni zote zinafikia ukomo wake kila tarehe 31 Disemba ya kila mwaka na kuhuwishwa kwa hiyari kufikia tarehe 30 Machi ya mwaka unaofuata zaidi ya hapo mteja atalazimika kulipa faini ya asilimia  50 (50%) ya gharama za leseni husika.
Kumbuka yapo Maelezo ya nyongeza kwa muombaji/ waombaji ambao sio raia wa Tanzania,
• Andiko la Mradi na uwezekano wa mradi kutekelezwa (Project write up & feasibility study)  Taarifa ya tathmini ya athari za Mazingira (EIA report).
* Cheti kutoka taasisi ya uwekezaji Tanzania (TIC certificate).
* Taarifa ya tathimini ya athari za kimazingira (environment impact assessment report),
* Kibali halali cha kufanya kazi nchini (Valid work permit)  na,
* Uhakiki wa mazingira yanayoendana na shughuli za uvuvi (A proof on the value of physical environment relevant to fisheries activities).


Hatua za kufuata unapotaka  kuanza ufugaji  wa samaki (Small scale Aquaculture establishment)
Maombi hufanyika kwa kujaza fomu  5 na 7 (First schedule) na kibali kitatolewa kwa fomu QA/APP/01 (First schedule)
Hatua za kufuata unapotaka kuanza ufugaji mkubwa wa samaki (Large scale aqua farmers)
Hatua ya kwanza ni lazima mwekezaji aombe kibali cha kufanya hivyo kwa kujaza Fomu 7 (First schedule) na baada ya ofisi kuridhika, kibali kitatolewa kwa form QA/APP/13 (First schedule)
Mfugaji  samaki ataomba ushauri wa kitaalam katika kuchagua eneo linalofaa kwa shughuli za ukuzaji viumbe kwenye maji kwa kuzingatia kanuni za ufugaji samaki na miongozo yake.
Taarifa ya tathimini ya athari za kimazingira (EIA) itafanyika kwa uwekezaji mkubwa kwa kuhusisha taasisi za serikali zilizopewa mamlaka ya kusimamia shughuli hizo kisheria.
Mwekezaji haruhusiwi  kutumia vichochezi kama beta agonists kwa ajili ya kuongeza ukuzaji samaki.
Mfugaji wa samaki awe na kibali cha matumizi ya maji kutoka mamlaka ya maji husika
Mfugaji awe na hati ya kumiliki ardhi

Hatua za kufuata kwa kufuga samaki kwenye Vizimba (Cage culture)
Mwekezaji apeleke maombi kwa Katibu Mkuu,
Maombi yafanyike kwa kujaza Form 7 (First schedule) kibali kitatolewa kwa QA/APP/14 baada ya kufanya tathmini ya athari za mazingira na taarifa kutolewa.
(EIA ifanyike)         



Uwekezaji wa Mwani (Seaweed)
Mwekezaji katika kilimo cha mwani anatakiwa:
  1. Apate kibali toka serikali za mitaa/Kijiji
  2. Atafute eneo linalofaa
  3. Atumie mbegu ambazo hazijaathirika na magonjwa
  4. Afuate mwongozo wa kuendeleza kilimo cha mwani

FOMU ZINAZOTUMIKA KATIKA SHUGHULI ZA UKUZAJI VIUMBE KWENYE MAJI
Application for a license for fishing or dealing in fish or fishery products
(fin fish, crustaceans, seaweed, Aquarium fish etc) - Form 3(a)
Application for export license for fish and fish products - Form 3(c)
Application for permit to construct / renovate /adapt a fish establishment – Form 5
Application for certificate of transportation of fish and fish products - Form 6
Application for permit to establish of commercial/large scale aqua farm - Form 7
Register of aqua famers – Form 8
Evident of poisoned fish Form – 9
Compounding offence Form – 11
Seizure Form – 12
Application for disposal of fishery products Form – 13(a)  


LICENCE /PERMIT / CERTIFICATE

QA/APP/01 – Certificate of approval for fish or aquaculture establishment
QA/APP/02 – Health certificate
QA/APP/03 – Sanitary certificate covering  fish and fishery products
QA/APP/04 – Permit for movement of fish and fishery products
QA/APP/05 – Permit for export of fish and fishery products
QA/APP/07 – Certificate of ownership for fish and fishery products
QA/APP/11 – License for fishing or dealing in fish and fishery products
QA/APP/12 – Permit for import of fish and fishery products
QA/APP/13 – Permit for large scale aqua farming 

Dkt.  C.G Mahika
 DAQ





Jumatatu, 7 Novemba 2016

RE-ADVERTSEMENTOF EXPRESSION OF INTEREST FOR CONSULTANCY SERVICE Ref TENDER NO. ME/021/2015/2016/SWIOFish/C/104thNovember, 2016




THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
MINISTRY OF AGRICULTURE, LIVESTOCK AND FISHERIES






Telegram: “Mifugo”
Telephone:  255 0222861910
Fax: 255 0222861908
E-Mail: ps-ld@mifugo.go.tz





                                               
In reply please quart:



 


Veterinary Complex,
131 Nelson Mandela Road,
P.O. Box 9152,

15487 DAR ES SALAAM.


 

 




                                     
Ref TENDER NO. ME/021/2015/2016/SWIOFish/C/104thNovember, 2016


                                                         
Managing Editor
The Standard (Newspaper) Limited (TDN)
P.O.Box9033,
DAR -ES- SALAAM.


RE: RE-ADVERTSEMENTOF EXPRESSION OF INTEREST FOR CONSULTANCY SERVICE TO DEVELOP BUSINESS PLAN FOR NYAMISATI, KILINDONI AND MASOKO PWANI FISH LANDING SITES

Kindly advertise the attached advert in your newsletter as requested. Provide ¼ +1/8 page for our advert on 70THNovember, 2016. After advertisement submit your invoice bearing the name TENDER NO:ME/021/2015/2016/SWIOFish/C/10 PROVISION OF CONSULTANCY SERVICE TO DEVELOP BUSINESS PLAN FOR NYAMISATI, KILINDONI AND MASOKO PWANI FISH LANDING SITES together with hard copies of adverts.


Thanking you in advance.


For M.L.Kilapilo
PERMANENT SECRETARY
MINISTRY OF AGRICULTURE, LIVESTOCK AND FISHERIES




SOUTH WEST INDIAN OCEAN FISHERIES GOVERNANCE AND SHARED GROWTH PROGRAM (SWIOFish) PROJECT- TENDER No.ME/021/2015-16/SWIOFish/C/10



THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
MINISTRY OF AGRICULTURE, LIVESTOCK AND FISHERIES
(FISHERIES)


SOUTH WEST INDIAN OCEAN FISHERIES GOVERNANCE AND SHARED GROWTH PROGRAM (SWIOFish) PROJECT-
IDA CREDIT No.5589-TZ

RE - ADVETISE FOR EXPRESSIONS OF INTEREST

Assignment Title:  PROVISION FOR CONSULTANCY SERVICE TO DEVELOP BUSINESS PLAN FOR NYAMISATI, KILINDONI AND MASOKO PWANI FISH LANDING SITES

Reference No. TENDER No.ME/021/2015-16/SWIOFish/C/10

The Government of the United Republic of Tanzania has received financing from the World Bank toward the cost of the South West Indian Ocean Fisheries Governance and Shared Growth program – SWIOFish, and intends to apply part of the proceeds for consulting services.
The consulting services (“the Services”) include

1.    Identify and analyze current demand for the landing sites and likely evolution of that demand over the next 5 years, including revenues earned from that demand and the cost of operation
2.    Identify any constraints impeding current demand or its growth (including regulatory constraints, market constraints, limited capacity of key stakeholders, competition from other facilities or technologies, reduction of fish stocks, etc) Maintain regular liaison with national research institutions and researchers approved by the PRC to implement SWIOFish research activities;
3.    Clearly define the activities, targets and outputs under each activity; actors involved and linkages within the system
4.    Clearly identify characteristics, roles and responsibilities of different actors proposed in the operation.
5.    Show the operational linkages between the landing sites and key actors.
6.    Spell out the system's sustainability strategies, both in terms of financial and human resources and identify short-comings in those strategies;
7.    Propose possible sources of funding and solutions for the more efficient and the operation of the landing sites
8.  Explain how the landing sites will be monitored, quality controlled and managed
9.  Propose strategies for efficient use available resources in order to increase fish production
10. Present the operation structure or set-up and show how it will be done
11. Develop a business plan that specifies strategies to be used for resource and membership mobilization, advertising, sales and marketing, distribution, extension and training delivery, pricing and positioning amongst others sources of financing, opportunities to improve operating efficiencies (including affordable new technologies


The assignment is expected to last for four calendar months.

The Ministry of Agriculture, Livestock and Fisheries (MALF) now invites eligible Consulting Firms (“Consultants”) to indicate their interest in providing the Services. Interested Consultants should provide information demonstrating that they have the required qualifications and relevant experience to perform the Services. The shortlisting criteria are:

i)     At least 10 years’ experience in the preparation of public sector medium- and long- term socio- economic business or action Plans
ii)    A background in commercial, economic, fisheries management and fisheries resource-economics, public private partnerships, social enterprises development or other relevant community development field of study
iii)  Demonstrated writing, analytical, presentation and reporting skills
iv)  Experience conducting business planning and market research with proven results in jurisdictions
v)    Evidence of experience as a trainer in influencing policy implementation will be an added advantage.
vi)  Availability to travel to the field sites, and ability to work well with and guide (both in person and from a distance) a local team.
vii) Demonstrated interest in social enterprises and experience analysis financial sustainability of nonprofit organizations
viii)   Knowledge of the region / country context will be rated positively

The attention of interested Consultants is drawn to paragraph 1.9 of the World Bank’s Guidelines: Selection and Employment of Consultants by World Bank Borrowers; January 2011 revised July,2014  by World Bank Borrowers [(“Consultant Guidelines”), setting forth the World Bank’s policy on conflict of interest. 
Consultants may associate with other firms in the form of a joint venture or a sub consultancy to enhance their qualifications.

A Consultant will be selected in accordance with the Consultant Qualification Selection (CQS) method set out in the Consultant Guidelines.
Further information can be obtained at the address below during office hours from 08:00 to 15:30 hours on Mondays to Fridays except on public holidays

Expression of Interest in one original plus two (2) copies enclosed in a sealed envelope, clearly marked “TENDER No.ME/021/2016-17/SWIOFish/C/10 Expression of Interest to Conduct Consultancy Service to Develop Business Plan for Nyamisati, Kilindoni and Masoko Pwani Fish Landing Sites must be delivered to the address below by 10.00 hours local time on Monday 21st November, 2016 at Mvuvi House Room No. 2. Late Expressions of Interest shall not be accepted for evaluation irrespective of the circumstances.


Ministry of Agriculture, Livestock and Fisheries
Veterinary Complex, 131 Nelson Mandela Road
P.O.Box 9152, 15487 Dar es Salaam, Tanzania
Tel. No: +2252228619110, Fax No: +255222861