Nav bar

Jumamosi, 15 Novemba 2014

WAZIRI KAMANI ASHIRIKI MKUTANO WA KUJADILI MKAKATI WA MAENDELEO WA SEKTA YA MIFUGO NAIROBI KENYA


Dkt . Titus Mlengeya Kamani (Mb)  Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Akishiriki  Kwenye Mkutano wa Mawaziri Wenye Dhamana ya Sekta ya Mifugo.Kujadili Mkakati wa Maendeleo wa Sekta ya Mifugo Afrika kwa Kipindi cha 2015-2035 (The Livestock Development Strategy for Africa -LiDeSa 2015-2035).  Katika ukumbi wa Mikutano wa AU-IBR Nairobi, Kenya. 
Picha ya Pamoja ya Washiriki wa Mkutano wa Kujadili Mkakati wa Maendeleo wa Sekta  ya Mifugo Afrika kwa Kipindi cha 2015-2035 (The Livestock Development Strategy for Africa -LiDeSa 2015-2035).  Katika ukumbi wa Mikutano wa AU-IBR Nairobi, Kenya. 

 

Ijumaa, 14 Novemba 2014

KATIBU MKUU WA WIZARA YA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI DKT. YOHANA BUDEBA AZUNGUMZA NA WAFANYAKAZI WA WIZARA YAKE KATIKA VIWANJA VYA MVUVI HOUSE 14/11/2014

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dkt Yohana Budeba Akionyesha Kikombe kwa Juu Kama Ishara ya Furaha na Kuwapongeza Wachezaji Waliofanikisha Kupata Kikombe Hicho Ambacho ni cha Msindi wa Tatu Katika Mchezo wa Karata Mashindano ya Shimiwi Yaliyomalizika Mwezi Oktoba Morogoro Sherehe Hizo Fupi Zilifanyia Kwenye Uwanja wa Mvuvi House, Wakati wa Katibu Mkuu Kujitambulisha kwa Wfanyakazi wa Wizara   

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dkt Yohana Budeba Akimkabidhi Khatibu Muhtasi Bibi Mtage Kitule  Kikombe  cha Ushindi wa tatu cha Uchezaji Karata Kilichotolewa Wakati wa Mashindano ya Shimiwi yaliyomalizika mapema mwezi wa Oktoba 2014 Morogoro. Wakati wa Hafla fupi ya Kuzungumza na Wafanyakazi wa Wizara na na kuwapongeza kwa Ushindi huo 
Mwenyekiti wa TUGHE tawi la Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi akifungu Mkutano Mfupi wa Kazi Uliomtambulisha Katibu Mkuu wa Wizara Dkt Yohana Budeba aliyeketi katikati Ili azungumze na wafanyakazi pia Atoe muelekeo wa Utendaji kazi wa Wizara hiyo Add caption
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dkt Yohana Budeba Akibadilishana Mawazo na Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu Bibi Tabu Chando ambaye naye alipata fursa ya Kutambulishwa . Amehamia Wizara ya Mifugo na Uvuvi ametoka  Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii
Bibi Tabu Chando Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu akijitambulisha na kuwasalimia Wafanyakaziwa Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi 
Katibu Mkuu wa Wzara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dkt Yohana Budeba akizungumza na Wafanyakazi wa Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvihawapo pichani
Wafanyakazi wa Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Wakimnsikiliza kwa Makini Katibu Mkuu wakati akitoa maelekezo na utaratibu wa utendaji kazi wa Wizara Hayupo pichani

Wafanyakazi wa Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Wakimnsikiliza kwa Makini Katibu Mkuu wakati akitoa maelekezo na utaratibu wa utendaji kazi wa Wizara Hayupo pichani 

Msema Chochote wa Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Bw  Deodath Mmanda Afisa Utawala na Rasilimali Watu, akisherehesha Hafla fupi ya Katibu Mkuu Kuzungumza na Wafanyakazi na Kuwapongeza Wana Michezo kwa Ushindi Walioupata
Baadhi ya Wanamichezo walioshiriki katika Michezo ya SHIMIWI Mwaka 2014 Huko Morogoro Wakiwa Mbele ya Meza Kuu kwa Ajili ya Kupongezwa kwa Kikombe na Medali walizowasilisha Wizarani. Aliyeshika Kikombe cha Ushindi wa  Tatu wa Karata ni Bibi Crecencia Lucas
Katibu wa Shimiwi wa Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Bibi Mwnamkasi Abassi Akisoma Risala ya Ushiriki wa Wizara kKatika Mashindano ya Shimiwi na Matokeo ya Mashindano hayo Mbele ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Hayupo Pichani
Wanamichezo wa Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Wakipongezana kuhusu Ushindi wao wWakati wa Shimiwi



































Alhamisi, 6 Novemba 2014

RAIS AMUAPISHA KATIBU MKUU WA WIZARA YA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe, Prof Jakaya Mrisho Kikwete akimuapisha Dkt Yohana Budeba kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi  
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Prof Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dkt Yohana Budeba Vitendea kazi vya Wizara yake

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe, Prof Jakaya Mrisho Kikwete akimtakia Heri Dkt Yohana Budeba kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi  

Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu Bibi Tabu Chando  akimkabidhi maua Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dkt Yohana Budeba, kama ishara ya kumkaribisha Wizarani katika Majukumu yake Mapya