| Bibi Tabu Chando Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu akijitambulisha na kuwasalimia Wafanyakaziwa Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi |
| Katibu Mkuu wa Wzara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dkt Yohana Budeba akizungumza na Wafanyakazi wa Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvihawapo pichani |
| Wafanyakazi wa Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Wakimnsikiliza kwa Makini Katibu Mkuu wakati akitoa maelekezo na utaratibu wa utendaji kazi wa Wizara Hayupo pichani |
| Wafanyakazi wa Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Wakimnsikiliza kwa Makini Katibu Mkuu wakati akitoa maelekezo na utaratibu wa utendaji kazi wa Wizara Hayupo pichani |
| Wanamichezo wa Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Wakipongezana kuhusu Ushindi wao wWakati wa Shimiwi |
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni