Nav bar

MATUKIO KATIKA PICHA

PEMBE ZA NG'OMBE AINA YA ANKOLE ZILIZOONGEZWA THAMANI 
Pembe hizi hupatikana zaidi maeneo ya Magharibi mwa Tanzania ambapo Ng'ombe aina ya Ankole wanafugwa, "Tembelea maeneo ya Machinjio na Minada" zinapatika

Picha zinazoonekana ni pembe za ng'ombe zilizoongezwa thamani kwa kutumika kama kishikia taa au kwa kingereza Lamp Holder  







Urembo ni kitu muhimu kwa Mwanamke Bangili na Hereni zitokanazo na pembe za Ng'ombe Wajasiriamali Mpo''''''''''''''''''''''''''' 


  Wasiliana na Blog hii utapata bidhaa zitokanazo na Mifugo kama hizo hapo juu 


TAMBUA SAMAKI MABALI MBALI WANAOPAIKANA KATIKA BAHARI YA HINDI TANZANIA





SAMAKI SILIKANTI FAHARI YA MTANZANIA


SILIKANTI -  fahari ya mtanzania samaki huyu anasadikiwa kuwepo mika 6000 iliyopita alitoweka na sasa ameonekana kwa wingi katika pwani ya Tanga eneo la Kigombe ambapo kwa sasa kuna hifadhi maalum ya Bahari na Maeneo Tengefu ya Kigombe Tanga. samaki huyu amefanya eneo hilo kuwa la  utalii wa samaki


UENDELEZAJI WA UFUGAJI KUKU WA ASILI KIBIASHARA 


 Ufugaji wa kuku wa Asili  kibiashara ni Mkombozi wa mwananchi wa kawaida kuku hawa ni watamu wanakula vyakula vya asili boresha ufugaji wao kwa kuwapa eneo bora la kuwafuga, wape chakula bora na maji safi ya kutosha  bei yao ni kubwa katika soko kulinganisha na wa kisasa.


ZAO LA MWANI NI CHANZO CHA MAPATO KWA WAKINA MAMA WA UKANDA WA PWANI


Ukulima Mwani ni mkombozi kwa wanawake wa Ukanda wa Pwani, tuboreshe kilimo hicho tuzalishe kwa wingi, wakinamama kujiunga katika vikundi ili kutetea soko la Mwani kuwa bora.


MRADI WA MACEMP ULIWEZESHA UTOAJI WA BOTI ZA KISASA KWA AJILI YA KUFANYA DORIA ZA KIDHIBITI UVUVI HARAMU


Utumiaji wa Boti zilizo bora katika Uhifadhi wa Bahari, kufanya Doria ili kudhibiti Uvuvi Haramu. Zana kama hizi ni muhimu katika kukuza uchumi wa wananchi katika kuvuna maeneo yanayokubalika na kuacha kuvua samaki wadogo.  


MARADI WA  UTUNZAJI WA MAZINGIRA YA BAHARI NA KUBORESHA MAISHA YA WAKAZI WA PWANI  (MACEMP)  MKOMBOZI WA MVUVI MDOGO





PICHA ZA KUMBUKUMBU ZA MSIBA WA ALIYEKUWA MKURUGENZI WA UTAWALA NA UTUMISHI MAREHEMU JOHN PATRICE YAMO MUNGU AILAZE PEMA ROHO YAKE AMINA 














PICHA ZA WATUMISHI WA WIZARA KATIKA MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA VIWANJA VYA MNAZI MMOJA DAR-ES-SALAAM  2011





















ZIARA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MHE JAKAYA MRISHO KIKWETE ALIPOTEMBELEA WIZARA YA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI  TAREHE 31/03/2011















































USISHANGAE HUYO NI AINA YA VIUMBE KWENYE MAJI WANAOLIWA KAMA PWEZA UPO................