Nav bar

Jumatatu, 5 Novemba 2018

WAKURUGENZI WAPYA WATAMBULISHWA WIZARA YA MIFUGO NA UVUVI



Katibu Mkuu Mifugo Prof. Elisante Ole. Gabriel leo atambulisha Wakurugenzi wapya katika kikao cha Wakuu wa Vitengo na Idara kilichofanyika katika Ukumbi wa NBC Leo.

# Prof. O. Gabriel, alisisitiza Wakurugenzi kujifunza kwa watu na kuwa na Ushirikiano.

#KM aliwataka Wakurugenzi kuwa wabunifu katika kazi zao ili kuinua Sekta.

# Prof. aliwaomba Wakurugenzi kukabiliana na changamoto zilizopo na kuunganisha nguvu kwa pamoja ili kuzitatua.

# Alisisitiza kujenga utamaduni wa Kushirikiana kwa pamoja na kufanya kazi kwa Ushirikiano.

Katibu  Mkuu Mifugo, Profesa Elisante Ole Gabriel ampongeza na kumkaribisha Kaimu Mkuu mpya wa Kitengo cha Mawasiliano  Serikalini Bi. Rehema ,bulalina, leo katika ukumbi wa NBC


KM Mifugo Profesa Elisante Ole Gabriel ampongeza na kumkaribisha Mkurugenzi mpya wa Idara ya Huduma za Mifugo Dkt. H. Nonga, Leo katika ukumbi wa NBC

KM Mifugo Profesa Elisante Ole Gabriel  ampongeza na kumkaribisha Mkurugenzi mpya wa Idara ya Uzalishaji Mifugo na Masoko Dkt. Felix Nandonde




Wakuu wa Idara na Vitengo wakisikiliza maagizo kutoka kwa KM (hayupo pichani)

























Hakuna maoni:

Chapisha Maoni