Katibu Mkuu Mifugo Prof. Elisante Ole. Gabriel leo atambulisha
Wakurugenzi wapya katika kikao cha Wakuu wa Vitengo na Idara kilichofanyika katika Ukumbi wa
NBC Leo.
# Prof. O. Gabriel, alisisitiza Wakurugenzi kujifunza kwa
watu na kuwa na Ushirikiano.
#KM aliwataka Wakurugenzi kuwa wabunifu katika kazi zao ili
kuinua Sekta.
# Prof. aliwaomba Wakurugenzi kukabiliana na changamoto
zilizopo na kuunganisha nguvu kwa pamoja ili kuzitatua.
# Alisisitiza kujenga utamaduni wa Kushirikiana kwa pamoja
na kufanya kazi kwa Ushirikiano.
![]() |
Katibu Mkuu Mifugo, Profesa Elisante Ole Gabriel ampongeza na kumkaribisha Kaimu Mkuu mpya wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Bi. Rehema ,bulalina, leo katika ukumbi wa NBC |
![]() |
KM Mifugo Profesa Elisante Ole Gabriel ampongeza na kumkaribisha Mkurugenzi mpya wa Idara ya Huduma za Mifugo Dkt. H. Nonga, Leo katika ukumbi wa NBC |
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni