Nav bar

Jumapili, 7 Februari 2016

MRADI WA KUBORESHA SHUGHULI ZA KILIMO NA UVUVI (TASPII) WALETA MAFANIKIO KANDA YA ZIWA VICTORIA

wafanyakazi wakianika dagaa kwenye chanja katika Kisiwa cha Kabumbilo

Dagaa wakiwa kwenye chanja

  uandaaji wa karabai kabla inayotumika kutegea dagaa


Dagaa baada ya kugeuza geuza wakipakia kwenye mifuko


Karabai likiwa tayari kwa utegaji wa dagaa 


Dagaa wakipakiwa kwenye ghala tayari kwa kusafirishwa

sehemu ya kuhifadhia dagaa

Bw. Gordian Elias aliefanikiwa na kupata mafunzo kupitia Mradi wa TASP II (Transport and Agricultural support programme) juu ya uchakataji wa dagaa

Maafisa wa habari wakiwa na wataalamu wa uvuvi pamoja na mabaharia baada ya kukamilisha ziara katika Wilaya ya Muleba Mkoa wa Bukoba



Hakuna maoni:

Chapisha Maoni