Nav bar

Jumanne, 9 Februari 2016

WACHAKATI WA DAGAA WALIONUFAIKA NA MRADI WA KUBORESHA SHUGHULI ZA KILIMO NA UVUVI (TASP II) KATIKA MIKOA YA KAGERA NA MARA



Namna ya uchakataji wa dagaa wakukaanga

Bw. Issa Jiwa  mchakataji kutoka kisiwa cha Kimoyomoyo Wilaya ya Muleba

wa dagaa wa kukaanga akiwa amewapakia tayari kwa kusafirisha


Dagaa wakiwa kwenye ujazo wa gram 100 mpaka 500

Mchakataji kutoka kijiji cha Busekela Musoma akianika dagaa kwenye chanja baada ya kutolewa kwenye ziwa

Mchakatji wa dagaa wa kukaanga Bi. Beatrice Mbaga akikusanya kwa ajili ya kwenda kukaangwa

Mchakataji akikaanga dagaa na kuweka kwenye chujio kwaajili ya kuchuja samaki

Vifungashio vya dagaa akiviwekea nembo

Dagaa wakiwa tayari kwa kumfikia mlaji baada ya kufungwa vizuri


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni