Nav bar

Ijumaa, 7 Agosti 2015

MAONESHO YA NANE 2015 MKOANI LINDI TAREHE 7/08/2015 KATIKA VIWANJA VYA NGONGO

Bi. Leokadia Mkira Mchumi Mkuu Idara ya Sera na Mipango Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi akielezea kuhusu Sera ya Mifugo na Uvuvi
Bw. Mbahe Mabochi Afisa Tehama Idara ya Teknolojia Habari na Mawasiliano akielezea mfumo wa Utambuzi  wa Mifugo unavyotumika

Bi. Agness Asenga Afisa Miradi wa Maendeleo na Biashara Shirika la Mitambo Heifer International Tanzania  akielezea jinsi shirika linavyowezesha na kusaidia familia zenye kipato duni kwa kuwapatia mifugo na mafunzo
Bi. Grace Mwaigomole Mwanasaikolojia Mwandamizi (Principle Sociologist) Idara ya Uzalishaji Mifugo na Uendelezaji wa  Masoko Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi akizungumzia masuala ya Uzalishaji
Bw. Leonard Basil Afisa Mifugo Mkuu Idara ya Uzalishaji Mifugo na Uendelezaji wa  Masoko Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi akiongolea kuhusu masuala ya Masoko
Bi. Joyce Daffa Afisa Ndorobo Mkuu wa Idara ya Huduma za Mifugo  akielezea kuhusu magonjwa ya Mifugo
Bi. Joyce Daffa Afisa Ndorobo Mkuu wa Idara ya Huduma za Mifugo akionesha  mitego mbalimbali ya kunasa Mbung'o
Bw. George Mtinda Daktari wa Mifugo kutoka Baraza la Veterinari Tanzania akielezea Usajili wa Mifugo mbalimbali
Bi. Mary Ngowi Afisa Mifugo Mkuu Wakala wa Maabara ya Vetenari Tanzania akielezea kuhusu dawa za Mifugo
Bw. Leo Mubila kutoka Wakala wa Maabaa ya Veterinari Tanzania akielezea Uzalishaji wa Chanjo
Bw. Mchome Heriel Meneja Utafiti na Ushauri Wakala wa vyuo vya Mafunzo ya Mifugo Tanzania akitoa maelezo yake kwa kina

Bw. Jeremiah Temu Afisa Masoko Mkuu Bodi ya Nyama akionyesha namna ya Utunzwaji wa Nyama kuanzia machinjioni mpaka inapofikia kuuzwa
Bi. Fatma Sobo Mkurugenzi Msaidiziwa Idara ya Maendeleo ya Uvuvi akionesha aina mbalimbali za samaki

Ng'ombe wa maziwa aina ya Freshian


Mtangazaji Pascal Mayalla atembelea darasa lilokuwa linatoa mafunzo ya Ufugaji

Bw. Zaro Afisa Masoko African Chicken Genetic Gain kutoka Mkuranga akielezea Ufugaji wa kuku wa mayai na nyama

Kuku wa mayai aina ya Black Austrolop

Dr. Ezekiel Golemela Mtafiti wa Mifugo wa Mtwara akielezea kuhusu ufugaji wa kuku
  Kuku wa Mayai aina ya New Hamshire

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni