Nav bar

Jumamosi, 23 Mei 2015

WAZIRI WA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI MHE.DKT TITUS KAMANI AZINDUA DUKA LA NYAMA LA NARCO KIBAIGWA MKOA WA DODOMA

Kikundi cha ngoma wakitumbuiza pamoja na Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Mhe.Dkt Titus Kamani



Waziri wa Maendeleo wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Mhe.Dkt Titus Kamani akisaini katika kitabu cha wageni alipotembelea duka la nyama la NARCO kibaigwa mkoani Dodoma


Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi  Mhe.Dkt Titus Kamani akizindua duka la nyama la NARCO kibaigwa mkoani Dodoma
Meneja wa ranchi ya Kongwa Bw. Bizimungu wakibadilishana mawili matatu na Mhe. Dkt. Titus Kamani

Dkt. John Mbogoma Meneja Mkuu wa kampuni za Ranchi Tanzania akitoa hotuba fupi


Dkt. John Mbogoma Meneja Mkuu wa kampuni za Ranchi Tanzania wakipeana mikono kumkaribisha Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt.Titus Kamani




Ng'ombe wa nyama kutoka Ranchi ya Kongwa katika mamlaka ya mji mdogo kibaigwa 







Hakuna maoni:

Chapisha Maoni