Nav bar

Ijumaa, 29 Mei 2015

UZINDUZI WA WIKI YA MAZIWA KITAIFA MKOANI MANYARA TAREHE 28/05/ 2015

Mkuu wa Mkoa  Manyara Mhe. Joel Bendera akiwahutubia wadau wa Maziwa katika  uzinduzi ya wiki ya Maziwa katika Viwanja vya kwa Raha mjini Babati


Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mhe. Joel Bendera akigawa maziwa kwa Wananchi wa Mkoa wa Manyara

Baadhi ya Mifugo wanaoneshwa katika Maonesho hayo ni pamoja na Ngamia ambao wanatoa maziwa mengi na bora ambao wamekuwa kivutio kikubwa kwa wadau na wananchi wa mkoa wa Manyara


Ng'ombe Dume aina ya AYRSHIRE  mwenye umri wa miaka 4(minne) ambao wapo katika maonesho



Ng'ombe majike wa maziwa aina FRIESIAN wenye umri wa miaka 4(minne) ambao wapo kwenye maonesho  hayo.





Mbuzi  Dume wa  maziwa aina ya TOGHENBURG akiwa katika maonesho



Hakuna maoni:

Chapisha Maoni