Nav bar

Alhamisi, 21 Mei 2015

WAZIRI KAMANI ASOMA BAJETI YA WIZARA YA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI 20/05/2015

Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt Titus Mlengeya Kamani akiwasilisha Bajeti ya Wizara yake Bungeni

Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt Titus Mlengeya Kamani akiangalia vielelezo anavyotumia katika kujibu Hoja na maswali ya Wabunge kuhusu Hotuba aliyowasilisha. Aliye naye ni Naibu Waziri Mhe Kaika Saning'o Telele ambaye ansisitiza Jambo
Mhe Waziri akijibu Maswwali na Hoja za Wabunge
Mkurugenzi Mkuuu  NARCO  Dkt John Mbogoma Akibadilishana mawazo na Katibu wa Waziri Bw Mwakipesile Mara baada ya kutoka nje ya Ukumbi wa Bunge

Mhe. Waziri Kamani Akipongezwa na Wadau mbalimbali Mara Baada ya Kutoka nje ya Ukumbi wa Bunge Dodoma
Mhe. Waziri Kamani akiwa katika picha ya pamoja na Naibu Waziri Mhe Kaika Telele , Wakurugenzi wa Wizara na Wadau wa Sekta ya Mifugo na Uvuvi Mara baada ya kutoka nje ya Ukumbi wa Bunge

Mkurugenzi wa Manunuzi Bw Gaston Lugali akiwa na Mwanasheria wa Wizara Bw Herman Lyimo na Irene Lukindo Wakitoka ndani ya Ukumbi wa Bunge
Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Mhe. Dkt Titus Mlengeya Kamani akiwasilisha Bajeti ya Wizara yake Bungeni 

Naibu Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi  Nhe Kaika Saning'o Telele akipongezwa na Katibu Mkuu wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Dkt Yohana Budeba na pembeni ni Mkurugenzi wa Sera na Mipango


Naibu Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Mhe. Kaika  Saning'o Telele akiwa katika picha ya pamoja na Bi Judith Mhina Afisa Mawasiliano na Bi Nganisa Masawe Mhasibu wa Wizara  Mara baada ya Bajeti ya Wizara kupita nje ya Ukumbi wa Bunge
Pembeni mwa Lango Kuu la Ukumbi wa Bunge Waziri Naibu Waziri wakipongezwa Mara Baada ya Kutoka
Mhe Dkt Kamani (mwenye suti nyeusi) akiwa na Mama Magdalena Kamani na Mkurugenzi wa Mafunzo Utafiti na Ugani Dkt Mohammed Bahari na Katibu wa Waziri Bw Mwakipesile Mara Baada ya Bajeti ya Wizara Kupitishwa nje ya Ukumbi wa Bunge

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni