Nav bar

Jumanne, 4 Machi 2014

WAJUE MKURUGENZI WA IDARA YA UTAWALA NA RASILIMALI WATU, WAKURUGENZI WASAIDI NA MAAFISA UTUMISHI WA WIZARA YA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI



MKURUGENZI WA IDARA YA UTAWALA NA RASILIMALI WATU   
Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu Bibi Theresia Mugangha



Bibi Theresia Mughanga akiwa ofisini kwake katika shughuli za Utawala, aliye pembeni ni Khatibu Muhtasi wake Bibi Joyce  Majule Peter





WAKURUGENZI WASAIDIZI IDARA YA UTAWALA NA MAAFISA UTUMISHI
Mkugenzi Msaidizi wa Rasilimali Watu Bibi Veronika Nchango
 

Mkurugenzi Msaidizi wa Utawala Bibi Beatrice Patrick










Bw Andrew Ponda Afisa Utumishi akiwa katika shughuli zake za kiutumishi Ofisini kwake


Afisa Utumishi Bi Neema  Kwembe akiwa katika shughuli za kiutumishi. Aidha Bi Neema ni Afisa Malalamiko wa Wizara. 















Afisa Utumishi Bi Neema Baltazary akiwa katika shughuli za kiutumishi Ofisini kwake 
















Maafisa Utumishi kutoka kushoto Bi Asha Mgalla na Bi  Susan Silayo, wakiwa katika shughuli za kiutumishi ofisini kwao 

 



Afisa Utumishi Mkuu Bw Zuwani Makame akiwa Ofisini kwake katika shughuli zake za kiutumishi


Bibi Anjeal Ungele Afisa Utumishi akiwa katika shughuli zake za kiutumishi k

Afisa Utumishi Bw Mrisho akiwa Ofisini kwake katika kazi za utawala 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni